Hivi Huyu Jerry Ndiyo Yule Alikuwa TBC 1 Akifanya Vyema Ktk Taarifa Za Uchunguzi Kabla Ya Kukutana Na Kisanga Cha Rushwa?. Aise Yanga Toeni Huyu Mtu Hafai Na Wala Msisubiri Tena TFF Iwasaidie Kutoa Adhabu.
Hizo Trioni
Zinamsaidiaje Mtz,iwapo Kabla Ya JPM Kuapishwa Kilo Ya Nyama Ilikuwa Tsh 5 000 Na Leo Ni Tsh 7 000 Huku Kwetu!?. Yaani Ny4e Ndio Walewale Mnaokaririshwa Eti Uchumi Unapanda Wakati Huohuo Maisha Yanazidi Kuwa Magumu Kwa Mfumuko Wa Bei.Mkilalamika Mnaletewa Igizo La Kufutwa Kazi...
Hizo Trioni
Zinamsaidiaje Mtz,iwapo Kabla Ya JPM Kuapishwa Kilo Ya Nyama Ilikuwa Tsh 5 000 Na Leo Ni Tsh 7 000 Huku Kwetu!?.Nyie Ndio Walewale Mnaokaririshwa Eti Uchumi Unapanda Wakati Huohuo Maisha Yanazidi Kuwa Magumu Kwa Mfumuko Wa Bei.Mkilalamika Mnaletewa Igizo La Kufutwa Kazi Mkurugenzi Wa...
Mkuu Unataka Utafuniwe Kila Kitu As If Wewe Siyo Great Thinker? Kuna Wachangiaje Wamekusaidia Kuwa Unganisha Dots Kwa February Maropes,ndio Kijana Anaezungumziwa.
Naona Kuna Mkanganyiko Kwenye Hiyo Habari,diwani Wa Ubungo Imejirudia Mara 2. Nijuzeni Huyo Meya Wa Jiji Anatoka Kata Gani Au Ndio Vijiweni Niliyoiona Jana Fesibuku?.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.