Kwa hili Rais anastahili pongezi,Si jambo jepesi hata..

Kwa hili Rais anastahili pongezi,Si jambo jepesi hata..

Magufuli ni mzuri kwa chenga za Mwili.... Usishangae kesho akimsifia Lissu kuwa ni mwanasheria shujaa..... na wanasheria wengine wanapaswa kumuiga yeye!

Hapo utajua anacheza na akili za kundi gani.!

Na kama unavyojua wapinzani walijiandaa kwa kiki kupitia Ney....alichofanya Magufuli ni kuwapiga goli la kanzu.!
Chadema walitoa wanasheria wanne!hawa jamaa wanatumia vibaya sana ruzuku
 
Wewe unaliamini hilo suala la viwanda?
Ndiyo mkuu, Nchi Sasa miaka 56 inatakiwa kuhama kutoka hatua ya kilimo kwenda kwenye viwanda, Kama mtoto atokavyo kutambaa akatembea. Lakini kwa mizengwe hii ya ukwamishaji wa makusudi ninahofu.

Watu nao tumechoka umasikini tunataka luxury life Wakati nao hauupi nafasi umasikini hivyo basi Viwanda ndo jibu, tumelima miaka 56 tumeendelea kuchakaa na kupika majungu.
 
Manager do things right but a Leader do right things...
 
Rais hatakiwi kuingilia ingilia kazi za vyombo vya sheria.

Pia,hatakiwi kuwapangia wasanii mistari gani ya kuimba.

Bado anakurupuka tu.
Hapa ndio atajua kuwa nchi hii hakuna upinzani Bali kuna mazwazwa wapinga kila kitu.

Mijitu leo muda mfupi tu iliyopita ilikuwa inalalama kuwa ney kaonewa.

Hivi Sasa kaachiwa bado inalalama tu.

Kinyeo chako!!
 
Nilipata kusema wakati nachangia uzi fulani kwamba, kama rais anahitaji kupata front page basi itamlazima kufanya matukio yanayohitajika na watumiaji wa habari na hivyo kupelekea magazeti kununuliwa kwa wingi. Suala hili nililisisitiza sana, kwa kuwa ndiyo ukweli wenyewe.

Pamoja na kujinasibu kwamba yeye hashauriki wala kupangiwa cha kufanya, binafsi nimegundua kuwa rais magufuli anapokuwa katika hali ya utulivu huwa anawaza na kutafakari kwa kutumia moyo wake. Ni bahati mbaya tu kwamba mazingira yazumngukayo kwa sasa yametawaliwa na audience ichocheayo majivuno na hivyo kujikuta akifanya kile ambacho tumekuwa tukikitafsiri kama 'kukurupuka', 'udikteta' n.k.
Kitendo cha rais kutoa maagizo kwa jeshi la Polisi kumuachia msanii Ney wa Mitego ni kitendo cha kufikirisha sana, hasa kinapofanya na mtu ambaye amekua anaeleweka na kutafsirika kwa sifa nilizo zitaja. Ney wa Mitego alikua aliimba kile watu walikua wakihofia kusema, ameimba kile ambacho kinajadiliwa sana Jamii forum kwa kuwa tu kule watu wa kinga ya majina ya bandia watumiayo, ameimba kile watu wanataka kusikia. Hivyo basi kitendo cha Ney wa Mitego kukamatwa na jeshi la Polisi kiliamsha hisia kali sana na kelele kutoka kila kona ya nchi hata kwa wale ambao hawakua wakimfahamu hapo kabla.
Rais ameingilia suala hili, kitendo hicho cha kuingilia imekua ni timing na karata nzuri sana. Kwa kuwa Ney wa Miteg0 aliongea kile watu walichotaka kukisikia, na baadae akakamatwa, mpaka rais akaingilia, hakika rais anastahili front page hapo kesho.
Kukaa front page si jambo dogo, ikumbukwe kuwa kitendo cha marais wawili kukosa front page halikua jambo dogo. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Rais Benki ya Dunia wanafanya tukio la kihistoria linalogharimu mabilioni ya shilingi lakini, sababu ya mpumbavu mmoja kutoka Koromije anapelekea rais na mgeni wake kukosa front page, maana ilibidiwanahabari wafuatilie hatma yao na hivyo front page ikachukuliwa na waziri wake wa habari (Na hiii ndiyo sababu wa Nape kutumbuliwa, wala siyo ile kamati. Yeye kama msemaje wa serikali tena akiwa ndani ya mkoa shughuli inapofanyika, alipaswa kuwepo katika shughuli ile badala ya yeye kutengeneza activity nyingine iliyoifunika shughulli ya mkubwa wake...adabu ya wapi hii!!?).
Siku nyingine nayo, rais anakwenda bandarini kwa ziara ya kustukiza, na kuibua aliyoyaibua lakini wamiliki wa front page wakamsikiliza wakaipima habari hiyo na ile ya Pale Protea ambapo Nape alikua akinyanyaswa huku akilazimika kuhutubia akiwa juu ya gari (Hili suala la Nape kunyanyaswa nalo litaondoka na mtu, maana mkuu lilimksirisha sana, kama alivyoagizwa Mwakyembe kuhusu Ney wa Mitego, katika hili nalo Waziri Mwigulu aliagizwa kulifuatilia...nawaapieni kwamba hili suala la Nape linakwenda kung'oa himaya ya Koromije), wakaona ya bandarini yanafaa kuwekwa ukarasa wa matangazo madogomadogo na front page wakamtunukia yule aliyesulubiwa akisamamia maslahi na uhuru wao. Haya yote kwa pamoja yalimsononesha sana rais na hakuweza kuficha uchungu na hisia zake.
Hili la Ney wa Mitego rais kaonyesha ukomavu wa hali ya juu sana, amelazimishwa kwenda maili moja yeye kaamua kwenda mbili, kaombwa shati yeye akagawa na joho pia. Hapa rais umefanya jambo ambalo hakika ni habari inayouzika na hili linawaacha wahariri bila ya option zaidi ya kukupa front page hapo kesho, katika hili umepuliza vizuri sana (Ingawa BASATA nao watatakiwa watufafanulie sheria zao zinasemaje katika hili).

Yapo mengi sana ambayo wananchi wapo tayari kukuunga mkono, nikushauri tu kwamba ungejiepusha na tabia ya majibizano, si jambo la busara kwa rais kuwa na tabia ya majibizano. Najua unapenda kuwa au kuonekana kuwa ni rais mwenye maamuzi na misimamo basi jifunze kutoka kwa rais Mkapa, hakika utafanya vizuri. Huwezi ukatufurahisha wote lakini angalau nchi itakua imesogea mahala fulani, kinyume na hapo ni hatua za kurudi nyuma.
makonda hajatumbuliwa kwasababu anahitaji ulinzi mana wauza ngada si watu wazuri hupoteza watu wasio na ulinzi

pia, nape katimuliwa kwasababu anajifanya anajua sana, mkuu wake alishasema makonda apige kazi na hatomtumbua, kilichomsibu kuunda kamati na ripoti ni nini ka si kushobokea wakuubwa

halafu wale kina mange puzi zao, wasifikiri kuongoza nchi ni sawa na kulea watoto wawili na kuposti insta
 
Kupitia Uzi huu ndio atajua kuwa kunamijitu haijui inataka nini.

Maana ni muda mfupi tu ilikuwa inalalama kwanini ney kakamatwa!Sasa raisi kaamuru aachiwe lakini bado wanaendelea kulalama.
 
Hapa ndio atajua kuwa nchi hii hakuna upinzani Bali kuna mazwazwa wapinga kila kitu.

Mijitu leo muda mfupi tu iliyopita ilikuwa inalalama kuwa ney kaonewa.

Hivi Sasa kaachiwa bado inalalama tu.

Kinyeo chako!!

Kwanza kabisa mimi si mpinzani. Unatumiakigezo gani kusema mimini mpinzani?

Ney kushikwa kwa wimbo wa political speech ni kuonewa.

Na.

Kuavchiwa kwa amri ya rais ni rais kuingilia vyombo vya sheria.

Ilitakiwa Ney asishikwe kabisa. Au aachiwe kwa utaratibu wa kipolisi ambao ungeona kwamba hakuwa na makosa ya kujibu kwa kuwa alikuwa anatumia haki yake ya kikatiba ya uhuru wa kujieleza.

Kuachiwa kwa amri ya rais ni rais kuingilia uhuru wa vyombo vya sheria kufanya kazi zake.

Umelewa somo hili la elimu ya uraia?

Unaposema "Kinyeo chako", wewe huna kinyeo?

Labda huna na mavi yamekujaa mpaka kichwani ndiyo maana unashindwa kufikiri kwa kina.
 
Nilipata kusema wakati nachangia uzi fulani kwamba, kama rais anahitaji kupata front page basi itamlazima kufanya matukio yanayohitajika na watumiaji wa habari na hivyo kupelekea magazeti kununuliwa kwa wingi. Suala hili nililisisitiza sana, kwa kuwa ndiyo ukweli wenyewe.

Pamoja na kujinasibu kwamba yeye hashauriki wala kupangiwa cha kufanya, binafsi nimegundua kuwa rais magufuli anapokuwa katika hali ya utulivu huwa anawaza na kutafakari kwa kutumia moyo wake. Ni bahati mbaya tu kwamba mazingira yazumngukayo kwa sasa yametawaliwa na audience ichocheayo majivuno na hivyo kujikuta akifanya kile ambacho tumekuwa tukikitafsiri kama 'kukurupuka', 'udikteta' n.k.
Kitendo cha rais kutoa maagizo kwa jeshi la Polisi kumuachia msanii Ney wa Mitego ni kitendo cha kufikirisha sana, hasa kinapofanya na mtu ambaye amekua anaeleweka na kutafsirika kwa sifa nilizo zitaja. Ney wa Mitego alikua aliimba kile watu walikua wakihofia kusema, ameimba kile ambacho kinajadiliwa sana Jamii forum kwa kuwa tu kule watu wa kinga ya majina ya bandia watumiayo, ameimba kile watu wanataka kusikia. Hivyo basi kitendo cha Ney wa Mitego kukamatwa na jeshi la Polisi kiliamsha hisia kali sana na kelele kutoka kila kona ya nchi hata kwa wale ambao hawakua wakimfahamu hapo kabla.
Rais ameingilia suala hili, kitendo hicho cha kuingilia imekua ni timing na karata nzuri sana. Kwa kuwa Ney wa Miteg0 aliongea kile watu walichotaka kukisikia, na baadae akakamatwa, mpaka rais akaingilia, hakika rais anastahili front page hapo kesho.
Kukaa front page si jambo dogo, ikumbukwe kuwa kitendo cha marais wawili kukosa front page halikua jambo dogo. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Rais Benki ya Dunia wanafanya tukio la kihistoria linalogharimu mabilioni ya shilingi lakini, sababu ya mpumbavu mmoja kutoka Koromije anapelekea rais na mgeni wake kukosa front page, maana ilibidiwanahabari wafuatilie hatma yao na hivyo front page ikachukuliwa na waziri wake wa habari (Na hiii ndiyo sababu wa Nape kutumbuliwa, wala siyo ile kamati. Yeye kama msemaje wa serikali tena akiwa ndani ya mkoa shughuli inapofanyika, alipaswa kuwepo katika shughuli ile badala ya yeye kutengeneza activity nyingine iliyoifunika shughulli ya mkubwa wake...adabu ya wapi hii!!?).
Siku nyingine nayo, rais anakwenda bandarini kwa ziara ya kustukiza, na kuibua aliyoyaibua lakini wamiliki wa front page wakamsikiliza wakaipima habari hiyo na ile ya Pale Protea ambapo Nape alikua akinyanyaswa huku akilazimika kuhutubia akiwa juu ya gari (Hili suala la Nape kunyanyaswa nalo litaondoka na mtu, maana mkuu lilimksirisha sana, kama alivyoagizwa Mwakyembe kuhusu Ney wa Mitego, katika hili nalo Waziri Mwigulu aliagizwa kulifuatilia...nawaapieni kwamba hili suala la Nape linakwenda kung'oa himaya ya Koromije), wakaona ya bandarini yanafaa kuwekwa ukarasa wa matangazo madogomadogo na front page wakamtunukia yule aliyesulubiwa akisamamia maslahi na uhuru wao. Haya yote kwa pamoja yalimsononesha sana rais na hakuweza kuficha uchungu na hisia zake.
Hili la Ney wa Mitego rais kaonyesha ukomavu wa hali ya juu sana, amelazimishwa kwenda maili moja yeye kaamua kwenda mbili, kaombwa shati yeye akagawa na joho pia. Hapa rais umefanya jambo ambalo hakika ni habari inayouzika na hili linawaacha wahariri bila ya option zaidi ya kukupa front page hapo kesho, katika hili umepuliza vizuri sana (Ingawa BASATA nao watatakiwa watufafanulie sheria zao zinasemaje katika hili).

Yapo mengi sana ambayo wananchi wapo tayari kukuunga mkono, nikushauri tu kwamba ungejiepusha na tabia ya majibizano, si jambo la busara kwa rais kuwa na tabia ya majibizano. Najua unapenda kuwa au kuonekana kuwa ni rais mwenye maamuzi na misimamo basi jifunze kutoka kwa rais Mkapa, hakika utafanya vizuri. Huwezi ukatufurahisha wote lakini angalau nchi itakua imesogea mahala fulani, kinyume na hapo ni hatua za kurudi nyuma.
magufuli hajajibizana na mtu, yeye hutoa kauli zake, akiona unazingua anakutumbua kama nape.

hivyo ndo mwanaume wa kiafrika unatakiwa kuwa, ynaongea yako mtu hasikii unatumbua, mazoea haletewi muafrika
 
Magufuli ni mzuri kwa chenga za Mwili.... Usishangae kesho akimsifia Lissu kuwa ni mwanasheria shujaa..... na wanasheria wengine wanapaswa kumuiga yeye!

Hapo utajua anacheza na akili za kundi gani.!

Na kama unavyojua wapinzani walijiandaa kwa kiki kupitia Ney....alichofanya Magufuli ni kuwapiga goli la kanzu.!

Too light, too shallow
 
Magufuli ni mzuri kwa chenga za Mwili.... Usishangae kesho akimsifia Lissu kuwa ni mwanasheria shujaa..... na wanasheria wengine wanapaswa kumuiga yeye!

Hapo utajua anacheza na akili za kundi gani.!

Na kama unavyojua wapinzani walijiandaa kwa kiki kupitia Ney....alichofanya Magufuli ni kuwapiga goli la kanzu.!

Hizi ni sifa za marehemu. Ni kwamba ameona kila akipinga hizo swaga anageuka kituko. Hivyo ameona naye acheze bit hizo hizo zinazotakiwa na watu. Nakumbuka wakati wa kampeni alivyoona ccm haiuziki bali M4C ya cdm iko juu naye ikabidi aforge M4C eti Magufuli for Change. Mkuu ni hivi, huko ccm wamebaki wazee na nguvu ya dola tu ndio inawafanya waendelee kupumua, na kwa bahati mbaya sana huko ccm hakuna vijana bali kuna wazee wenye umri mdogo.
 
Kuna watu kwenye hili suala la Ney mpo kimya sana...Kama mnafikiri mna freedom ya kukaa kimya, Be careful, nasema watch it, not to that extent.
 
Bado wakiamua kumkimbia wanao huo uwezo vichw vya habari vinaweza kusomeka " Ney wa mitego Huru na wimbo wake Ruksa kupigwa kwenye Tv na redio.

Na maelezo yakawa na stori ya kukamatwa, wimbo,Waziri Mwakyembe ambapo ndani yake kutakuwa na quote kidogo ya Mh. Na kisha kumalizia na maneno ya Ney baada ya kutoka Central.

Hivyo bado sana japo mimi naiona ishu bado imekaa kushoto maana kama wangemng'ang'ania kelele zingekuwa nyingi lakini pia wamemuachia kelele zinahamia kwenye sheria na ukamataji na kufuta maagizo ya walio chini kifupi Mh. anatakiwa kuwa anareact kwa machale sana maana kila sehemu ni mtego ukiingia tu hautoki bila kovu.
 
Tatizo sio wewe, tatizo ni akili yako.

Sisi wenye akili timamu tumeshajua kuwa kesi imechengeshwa ili kumlinda Bashinenga coz mahakamani kule ndio tungemjua real Bashinenga ni nani coz nae katajwa kwenye mistari ya wimbo.

So hii ilikuwa ni kinga nyingine dhidi ya Bashinenga!
Kweli kabisa wamekwepa kwamba kesi hii ingeibua mambo mengi sana.
 
Tatizo sio wewe, tatizo ni akili yako.

Sisi wenye akili timamu tumeshajua kuwa kesi imechengeshwa ili kumlinda Bashinenga coz mahakamani kule ndio tungemjua real Bashinenga ni nani coz nae katajwa kwenye mistari ya wimbo.

So hii ilikuwa ni kinga nyingine dhidi ya Bashinenga!
polisi wetu akili ndogo hawakujua kuwa ingekuwa ngu. umu kuandaa mashitaka kwani
ingejulikana bashite ni nani? pia kichaa aliyepewa rungu. ambaye hashauriki angejuilikana
 
Kwan katika ahadi zake alisemabatamwachia ney wa mitego??atoe million 50 alizoahidi kwa kila kijiji
 
Magufuli ni mzuri kwa chenga za Mwili.... Usishangae kesho akimsifia Lissu kuwa ni mwanasheria shujaa..... na wanasheria wengine wanapaswa kumuiga yeye!

Hapo utajua anacheza na akili za kundi gani.!

Na kama unavyojua wapinzani walijiandaa kwa kiki kupitia Ney....alichofanya Magufuli ni kuwapiga goli la kanzu.!
exactly
 
Back
Top Bottom