Recent content by dr Akanyonyi Ako

  1. dr Akanyonyi Ako

    Hivi kazi ya Mkurugenzi wa SSRA ni ya kudumu?

    Wewe ufuatilii masuala ya hii sekta sasa mabadiliko utayajulia wapi ?, zaidi ya kusikia hili la kikokotooo!
  2. dr Akanyonyi Ako

    MSAADA: Kwa anae fahamu hii Kamusi gani anisaidie

    Inaitwa eikani-ngambo, Ruhaya-swahili Dictionary, imeandikwa na prof H R T MUZALE, Toleo la pili, 2018. In a patikana duka la Ujirani mwema Bukoba
  3. dr Akanyonyi Ako

    Historia ya Mauaji ya Kimbari ya Rwanda: Kilio Cha Mifereji ya Damu iendayo Ethiopia

    well researched, well written. Kagame anatokea ukoo wa abanyinginya, ukoo wa kichifu,
  4. dr Akanyonyi Ako

    DW Swahili: Kura ya Catalonia na darasa kwa wazanzibar

    leo hawapigi kura ya maoni juu ya kujitenga, bali wanapiga kura kuchagua uongozi wa serikali ya jimbo hilo baada ya ile ya Pudemonti kutimuliwa madarakani. inafananishwa na kura ya kujitenga kwa sababu endapo mlengo wa vyama vya kujitega utashinda, basi itamaanisha vuguvugu la kujitenga...
  5. dr Akanyonyi Ako

    Historia ya Mauaji ya Kimbari ya Rwanda: Kilio Cha Mifereji ya Damu iendayo Ethiopia

    yaliyo mengi nia ya kweli, na kuna prof aliandika andishi la phd juu ya mgogoro huu, iliwai wekwa hapa JF
  6. dr Akanyonyi Ako

    Mapenzi ni zaidi ya uchafu

    Daaaa!! Hatari Sent using Jamii Forums mobile app
  7. dr Akanyonyi Ako

    Simulizi za the Bold

    nakuelewa mzee, kazi juu ya kazi
  8. dr Akanyonyi Ako

    Bomoabomoa yapitia nyumba ya mama Anna Mkapa

    What if He has 20 of those! will it matter for just one to be demolished? I think its wise for you to be looking for solution rather that celebrating!!
  9. dr Akanyonyi Ako

    Fao la kujitoa lipo---LAPF

    wasilisha lalamiko lako kwa Mkurugenzi mkuu SSRA, It will be resolved
Back
Top Bottom