Recent content by doullar

  1. doullar

    Utata wa maelezo juu ya kifo cha Katibu na motive ya Mkandamizaji

    [emoji1614] watu wanaoachwa ndo wanaojiua sio wanaokataliwa FACT mno na ni halisi
  2. doullar

    Natafuta Mwalimu anayefundisha Lugha ya alama

    Habari Natafuta fursa ya kuongeza ujuzi wa lugha ya alama. Nipo Dar es Salaam 0746709578
  3. doullar

    Jiwe Jeusi la Chato

    Hapana hawalipi ada wazazi wangu
  4. doullar

    Jiwe Jeusi la Chato

    Mambo mengi hujirudia, ingawa wakati mwingine na kwa namna ya utofauti
  5. doullar

    Jiwe Jeusi la Chato

    Lina uzito wa tani, jiwe jeusi la chato Jiwe jeusi si dini, jiwe halina mvuto Sasa nikusimulieni, limepataje uzito Hata mkifika mia, hamlibebi kitoto Washi walilipinga, kutaka kulisimika Ya rangi wakayapanga, hili hawakulishika Mawe yakatoa unga, na ponde yakapondeka Hata mkifika mia, hamlibebi...
  6. doullar

    Madhara ya rushwa katika uchaguzi

    Zuia kataa rushwa,tokomeza elimisha Rushwa adui wa haki,tena donda linonuka Hukosa pa kushitaki,ukapata kusikika Mtoaji hudhihaki,hauna pa kumshika Zuia kataa rushwa,tokomeza elimisha Yafika mahakamani,hakimu apinda kesi Yakakufika shingoni,mambo yakawa meusi Ukabaki hatiani,waenda somba...
  7. doullar

    Shairi "tumeumbiwa nini"

    Hima mja tajikima,kufanya yalo mazuri Swala iwe ya lazima,kumtukuza dahari Kufunga ntajituma,niisubiri futari Aniongoze karimu,pepo nikaisubiri Sent from my iPhone using JamiiForums
  8. doullar

    Shairi "tumeumbiwa nini"

    Shukurani safuheri,kwayo majibu sawia Atakulipa kahari,nduguyo nakuombea Nami naweka nadhiri,kazi nitayafanyia Niieneze habari,kuikumbusha dunia Sent from my iPhone using JamiiForums
  9. doullar

    Shairi "tumeumbiwa nini"

    Sauti yangu napaza,kuwaita mlo mbali Natawaka kuuliza,munipe jibu la kweli Moyoni lanitatiza,lanisumbua akili Tumekuja duniani,tutumize lengo gani Swali msije lipuza,kaniona punguani Au msije nibeza ,kuniona limbukeni Mpate la kueleza,likanikifu moyoni Tumekuja duniani,tutimize lengo gani...
  10. doullar

    Ni rahisi sana kupata first class Ukiwa UDOM kuliko UDSM, IFM, SUA na Mzumbe. Inaonekana Walimu wa UDOM wanafundisha sana

    Hivi hawa jamaa wanaongelea udom ipi mbona hawaendani na uhalisia hawatumii experience katika maneno wengi ni ku guess tu na fact za uongo
  11. doullar

    Jaribu kujibu swali hili...

    Ll -2 •vy zy1ß Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app
  12. doullar

    Jifunze kutengeneza blog mwanzo mpaka mwisho

    Mkuu naomba nisaidie iko kitu nna blog yang lakini nashindwa kuidizain
  13. doullar

    Nimeconfirm vyuo viwil tofauti nasaidikaje

    nashkuru kaka ila nimeshaeleza sababu kua ni ubovu wa simu yangu sikua na nia ya kuconfirm udsm kwanza
  14. doullar

    Nimeconfirm vyuo viwil tofauti nasaidikaje

    au ntafute 0629916685 tgo 0654686463 samahan kwa usumbufu kaka nisaidie
  15. doullar

    Nimeconfirm vyuo viwil tofauti nasaidikaje

    naomba untumie namba zako unipe details namna ya kufanya kaka kesho ndo mwisho
Back
Top Bottom