Nimeconfirm vyuo viwil tofauti nasaidikaje

Nimeconfirm vyuo viwil tofauti nasaidikaje

Mtu kama wewe wala haustahili kupewa pole bali unastahili kuambiwa acha upumbavu, uroho, urafi uchoyo na ujinga! yaani tangia mwezi Wa tano wimbo unaoimbwa ni kuconfirm chuo kimoja badala yake wewe unaona bora ukamatilie nafasi zote wakati wenzako wanasubiri uachie nafasi waichukue.

Kilichokuponza ni kitu kimoja, wote mulioconfirm zaidi ya chuo kimoja bado hamjapata chaguo sahihi wapi na kipi mkasome kati ya kozi mlizochaguliwa sasa mnaona bora mconfirm vyote mtaamua mbelembel kwa mbele. sasa bora TCU wawapige benchi ili mrudie kuomba mwakani mtakuwa mmejifunza
 
Umesha disco subiri mwaka kesho ufanye tena application ,ila next time kuwa muangalifu
1d856fdb8808cfb220aaad3753e657e4.jpg
sawa bro
 
Nimechaguliwa udom na muce na vyote nimeconfirm vyote nasaidiwaje
Hakuna tatizo! Andika SMS kwa chuo ulichamua kukitosa na waambie nilikonfirm kwa makosa! Chuo unachokitaka kikifungua wahi fasta na kujisajili!
 
Hakuna tatizo! Andika SMS kwa chuo ulichamua kukitosa na waambie nilikonfirm kwa makosa! Chuo unachokitaka kikifungua wahi fasta na kujisajili!
Usimdanganye mwenzako Kabla vyuo havijafunguliwa majina yanatudishwa tena TCU so kule wakikuta upo sehem mbili wanakukata tu
 
Wasikutishe bwana leo nilikua udsm ucc, wameniambia watu kama ao wapo na utaratibu wa ku unconfirm unawatumia email wanakutoa wala amna shida cjajua institute nyngne
 
Mtu kama wewe wala haustahili kupewa pole bali unastahili kuambiwa acha upumbavu, uroho, urafi uchoyo na ujinga! yaani tangia mwezi Wa tano wimbo unaoimbwa ni kuconfirm chuo kimoja badala yake wewe unaona bora ukamatilie nafasi zote wakati wenzako wanasubiri uachie nafasi waichukue.

Kilichokuponza ni kitu kimoja, wote mulioconfirm zaidi ya chuo kimoja bado hamjapata chaguo sahihi wapi na kipi mkasome kati ya kozi mlizochaguliwa sasa mnaona bora mconfirm vyote mtaamua mbelembel kwa mbele. sasa bora TCU wawapige benchi ili mrudie kuomba mwakani mtakuwa mmejifunza
Kwan huu ni ushauli au ndo kutoana povuuu...mzumbe kuna sehem unaweka yes or no
 
Wasikutishe bwana leo nilikua udsm ucc, wameniambia watu kama ao wapo na utaratibu wa ku unconfirm unawatumia email wanakutoa wala amna shida cjajua institute nyngne
naomba untumie namba zako unipe details namna ya kufanya kaka kesho ndo mwisho
 
Mtu kama wewe wala haustahili kupewa pole bali unastahili kuambiwa acha upumbavu, uroho, urafi uchoyo na ujinga! yaani tangia mwezi Wa tano wimbo unaoimbwa ni kuconfirm chuo kimoja badala yake wewe unaona bora ukamatilie nafasi zote wakati wenzako wanasubiri uachie nafasi waichukue.

Kilichokuponza ni kitu kimoja, wote mulioconfirm zaidi ya chuo kimoja bado hamjapata chaguo sahihi wapi na kipi mkasome kati ya kozi mlizochaguliwa sasa mnaona bora mconfirm vyote mtaamua mbelembel kwa mbele. sasa bora TCU wawapige benchi ili mrudie kuomba mwakani mtakuwa mmejifunza
nashkuru kaka ila nimeshaeleza sababu kua ni ubovu wa simu yangu sikua na nia ya kuconfirm udsm kwanza
 
Mungu wangu yani ukiconfrm vyuo vwl tofaut vyote unakatwa daah kwa jns ss tulivotumiwa na barua
 
Nimechaguliwa udom na muce na vyote nimeconfirm vyote nasaidiwaje
Kwa nini watanzania walio wengi ni vilaza?

Umethibitisha ukiwa na lengo gani?

Kama lengo lilikuwa kusomea hicho ulichoanza nacho cha pili umethibitisha ili akasomee nani?
 
Back
Top Bottom