Recent content by DOTHRAK

  1. DOTHRAK

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Wàle tunaotaka kukutana whatsapp Grup hili apa Grup ndio limetengenezwa sasa hivii https://chat.whatsapp.com/H60WImwFNb6BQUDxojAJmF
  2. DOTHRAK

    Ninayempenda ameshaoa, anayetaka kunioa simpendi

    Ni pm nikuelekeze Yusrat
  3. DOTHRAK

    Argentina National Football Team (La Selección) Special Thread

    Mwaka huu hii WC Kwa hili kosi la Argentina likiongozwa na mchezaji wa Hii Dunia toka kuumbwa kwake(Messi) watajuta.
  4. DOTHRAK

    Leo nimemaliza kuiangalia BREAKING BAD. Hakuna series tamu kuliko hii duniani

    Bro Game of throne walio wengi Huwa hawaielewi lakini Kwa walio ielewa ni TV SHOW Kali sana sana. For now naangalia BREAKING BAD lakini sijaona chochote Cha special mpaka Sasa nimemaliza season 1.
  5. DOTHRAK

    Natafuta sana kiatu cha vans cha mtumba,

    Wenzangu mnaopenda kupendeza, natafuta sana kiatu cha vans cha mtumba, maana bei yake kutoka nje naona ya moto sana siwezi kufika. Kama kuna anaweza kunisaidia kupata vans namba 39 ntashukuru sana Vans zipo za aina nyingi lakini binafsi natafuta kama hiki rangi iwe nyeusi au kijani kama hiyo...
  6. DOTHRAK

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Ungeuliza kwanza kiongozi na sio kunishtumu moja kwa moja, na kama hujui siku nyingine jaribu kumfuata mtu kwa utaratibu. Apps za kufake gps ni nyingi sana.
  7. DOTHRAK

    Watu tulio wengi tupo katika dini fulani kwasababu tumezaliwa katika familia yenye dini hiyo

    Ramadhan Mubarack muslim brothers and sisters. Moja kwa moja kwenye mada, nimejaribu kutazama mienendo ya hizi dini nyingi duniani nikaja kugundua tulio wengi tunaishi kwa mkumbo wa vizazi vyetu tena especially wazazi wetu. Kuna mafumbo bado hayajafumbuliwa katika hizi dini. Sisi ni wafuasi wa...
  8. DOTHRAK

    Jamaa yangu ananuka mdomo sana. Nitumie njia gani kumfikishia ujumbe?

    Habari! Ni mshkaji niliefahamiana nae mwaka jana na tuna miezi kama tisa kwenye urafiki, ila mdomo wake unatoa harufu mbaya tukiwa katika katika mazungumzo. Sijajua shida ni hapigi mswaki vizuri, huwa hapigi mswaki kabisa au anapiga kwa matukio. Hii hali nilikuwa najitahid kuivumilia kwa...
  9. DOTHRAK

    NMB wananitumia SMS za kuweka pesa hali ya kuwa sijaweka

    Habari wakuu? Nina kama miezi miwili sasa tangu nisajili laini yangu ya Tigo. Kuna jumbe zinaingia katika simu zangu kutoka NMB ya kwamba nimefanikisha kuweka pesa hali ya kuwa sijafanya kitu kama hicho na wala laini hiyo sijaiunga na huduma yoyote ya kibenki zaidi na zaidi ina Tigo pesa tu...
  10. DOTHRAK

    Biashara gani ulifanya ukiwa chuoni?

    Nipo njia panda mpaka sasa, mwakani namaliza chuo home hali sio nzuri, nawaza nikatafute mtaji chuoni kwa kujishughulisha na chochote kitu. Naomba ushauri wa biashara nzuri. Mawazo yenu yana umuhimu. Chuo: UDOM
  11. DOTHRAK

    Nipo Tabora mjini nipe kibarua chochote halali nitafanya

    Ndio wakuu Mdogo wenu nipo Tabora huku Field, mambo magumu pesa sina naunga unga maisha, nipeni kazi yeyote ndugu zangu. Natanguliza shukrani
  12. DOTHRAK

    Msaada: Naomba kujua gharama za maisha mkoa wa Mtwara

    Wakuu salam.. Niende moja kwa moja kwenye mada nimepangwa field kituo cha TMA(mamlaka ya hali ya hewa) Mtwara. Naomba msaada kwa mtu aliepo huku anipe maelezo ya vitu kama malazi, ili nijue najipanga vipi. Mfano bei ya vyumba karibu na eneo hilo, bei ya chakula etc. Natanguliza shukrani .
  13. DOTHRAK

    Niliambiwa chuoni wanawake ni wa kumwaga mbona mimi sipati?

    Dah ile vuuu!! Paaa si nikamaliza six mzee sahiyo akili inafahamu kuwa chuo ni bata na mademu wa kumwaga duh!!!. Fresh mzee nikajitusu nikaomba mkopo Mungu Si MWENDAZAKE nikapata tena 100%. Basi mzee nikaingia Univ. Aisee hao mademu mbona siwaoni? Aise mbona hata hizo bata ni za manati jamani...
  14. DOTHRAK

    Dodoma: Nahitaji fundi simu wa kunifundisha

    Habari wana jukwaa? Kama kichwa cha habari kinavyojielezea. Ninahitaji kujifunza ufundi simu (fani ya ufundi simu) either hardware au software au zote mbili. Napendelea nifundishwe na fundi simu mwenye ofisi yake na niko tayari kwa Gharama zozote. Watu wanaweza kuniuliza kwanini sijachagua...
Back
Top Bottom