Recent content by donpier91

  1. donpier91

    Nikasome degree nyingine au nifungue biashara?

    Tafuta mashamba Anza kilimo
  2. donpier91

    Naomba kujuzwa tiba asili ya kuunga mifupa iliyovunjika

    Izi huduma zipo japo kuna watakaohisi tofauti, kuna jamaa alipata ajali ya boda Dodoma, baada ya kuona hospital hakuna maendeleo alikuja rukwa ndani ya siku mbili Yuko fresh kama hajawah kupata ajali
  3. donpier91

    Wale wote wanaotumia bidhaa za kampuni ya Xiaomi tukutane hapa ili kupeana ujanja

    Nashindwa kuturn on data server kwenye redmi 12 pro Kwa mtaalam naomba msada
  4. donpier91

    Wale wote wanaotumia bidhaa za kampuni ya Xiaomi tukutane hapa ili kupeana ujanja

    Nimenunua redmi 12 pro ram 8 storage 256 Kwa 570,000/= jiongezee uchukue huo mzigo
  5. donpier91

    Msaada: Kiuno kinauma sana

    Nenda kacheki magonjwa ya zinaa
  6. donpier91

    Ngazi za mishahara Serikalini - Tanzania (TGS, PHTS, PSS, SAIS etc)

    We jamaa umeshindwa kuwauliza wenzako ofisini
  7. donpier91

    Naomba kufahamishwa kuhusu Pump ya maji

    Nataka ya meter 100
  8. donpier91

    Naomba kufahamishwa kuhusu Pump ya maji

    Shida yangu mpira wa meter 100 upatikanaj wake ukoje na kutofautisha fake na original
  9. donpier91

    Ndege wananimalizia alizeti. Kwa hatua hii zinafaa kuvunwa?

    Fata ushauri wa wadau mda wa kuvunwa umefika ukichelewa zikikauka sana mbegu nyingi zitapotea kipindi cha mavuno
  10. donpier91

    Kibwana Shomari ana miaka 21

    Kwenye umri bongo tunazingua sana, kwa simba mkweli unaweza kuta ni kapombee pekee
Back
Top Bottom