jjs2017
JF-Expert Member
- May 25, 2019
- 2,023
- 4,213
Habari za wakati huu ndugu zangu,
Mimi ni mwanaume mwenye umri wa miaka 30+ ila bado sijaoa kabisa, nimekua nikipata sana maomivu ya kiuno na saa nyingine yanafika hadi kwenye hii mishipa ya mapaja nikijaribu kujinyoosha nyoosha nahisi maomivu.
Nimeenda hospital nimeambiwa sina tatizo zaidi ya kupewa dawa za kupaka na kushauriwa kufanya mazoezi ya viungo.
Kiukweki nazingatia sana mazoezi japo bado maumivu yako pale pale ndugu zangu na wakati mwingine nikisimama zaidi ya nusu saa na hisi maumivu na nakua kama nimewekewa mzigo kwenye kiuno.
Naombeni msaada na ushauri wenu ndugu zangu.
Mimi ni mwanaume mwenye umri wa miaka 30+ ila bado sijaoa kabisa, nimekua nikipata sana maomivu ya kiuno na saa nyingine yanafika hadi kwenye hii mishipa ya mapaja nikijaribu kujinyoosha nyoosha nahisi maomivu.
Nimeenda hospital nimeambiwa sina tatizo zaidi ya kupewa dawa za kupaka na kushauriwa kufanya mazoezi ya viungo.
Kiukweki nazingatia sana mazoezi japo bado maumivu yako pale pale ndugu zangu na wakati mwingine nikisimama zaidi ya nusu saa na hisi maumivu na nakua kama nimewekewa mzigo kwenye kiuno.
Naombeni msaada na ushauri wenu ndugu zangu.