Recent content by Donpetrol

  1. Donpetrol

    Ukweli Mchungu ambao hukufundishwa shule na hutokuja kufundisha.

    Hivi ndio vitu ulikuwa ukiingia jf unavikuta, ila sasa tangia pavamiwe huku dah,
  2. Donpetrol

    Wale wote wanaotumia bidhaa za kampuni ya Xiaomi tukutane hapa ili kupeana ujanja

    Habari wakuu kuna mtu yuko na xaomi note 3 mbovu. Aje pm
  3. Donpetrol

    Nauza laptop aina ya Hp

    [emoji3] si dhani ipo sahihi ila mazungumzo yapo
  4. Donpetrol

    Nauza laptop aina ya Hp

    Ni laptop hp probook 4530s Core i5 Ram 4gb Harddisk 500gb Processor 2.40GHz Bei 500000 Location Arusha.
  5. Donpetrol

    Simu yako ya 'Smartphone' huenda ni jasusi na huna habari

    Hizi ndio threads zilozo fanya nijiunge jamiiforums
  6. Donpetrol

    Huwezi kufanikiwa bila mapenzi

    Ila tatizo kuwapata wa aina hyo Sent using Jamii Forums mobile app
  7. Donpetrol

    Kisa cha kutafakarisha na kufikirisha juu ya Kikwete na Kagame

    [emoji23] [emoji23] umeongea kwa hisia sana usiteseke. Sent using Jamii Forums mobile app
  8. Donpetrol

    Kwanini Gazeti la Africa Confidential linamdhalilisha Rais wetu na Watanzania kwa ujumla?

    Acha upuuzi atuzungumzii chadema kwan hizo 1.5trilion ni za ccm ni za watanzania wote tunaolipishwa kodi kubwa hadi kufunga biashara zetu alfu unapanua mdomo wako kuongea eti mbona mbowe kaiba chadema kwa watu wote 55 milion wapo chadema kwan chadema wanakusanya kodi za nchi nzima kwa kila...
  9. Donpetrol

    Kumsingizia Rais Magufuli ufisadi haiwezi kumzuia kupambana na mafisadi

    Haiwezekani 1.5 trilion haijulikani ilipoenda alafu wewe unasema kwamba itapita tu narudia tena 1.5 trilion hivi kweli utakuwa sawa sawa.
  10. Donpetrol

    Miaka miwili bila kusex

    Kuwa mpole hizo ni siri za jeshi
  11. Donpetrol

    Ni app gani inayoweza kutoa mkopo kwa njia rahisi na uhakika?

    Tala pia wapo vizuri nikufuata taratibu zao
  12. Donpetrol

    Mbunge Joshua Nassari ampa tahadhari kubwa Zitto Kabwe

    Elimu elimu elimu ndio tunacho itaji bila hvyo mawazo mgando kama haya tutayashuhudia sana
  13. Donpetrol

    Mwanza inarudi nyuma huku Arusha ikiendelea

    We ndio ujaelewa kasema Arusha kama mkoa ndio ndogo kuliko mwanza.
Back
Top Bottom