Huwezi kufanikiwa bila mapenzi

Huwezi kufanikiwa bila mapenzi

Mapenzi ndiyo yamebeba Siri za wewe kufanikiwa.unaambiwa kosea kote usikosee Kwenye kuoa.mwanamke mzuri atakupenda jinsi ulivyo.mwanamke anaweza kukubadilisha kimawazo,ila usioee zezeta atakupoteza.unaweza ukafanya Jambo kubwa kwa ajili ya interest za familia,au kijiji ukasomea Kijiji.lakini yote tunafanya kwa sababu nyuma ya mwanaume Kuna mwanamke
Labda akili zako ndo ziko ivo, mafanikio yapi unayozungumzia, watoto au kiuchumi.
Kama kiuchumi nakupa big no.
Usipotumia nyege zako vizuri ndo utaharibikiwa, ila ukiwa vizuri kufanikiwa inawezekana bila mwanamke/ yaani mwanamke sio dili kabisa zaidi ya kunitua mzigo wa nyege

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom