Recent content by don zoncorino

  1. D

    Mkataba wa Fei Toto na Yanga na Mkataba wa Johnny Fontaine na Jamaa

    Some one will be given an offer he can't refuse.
  2. D

    Tulichomfanya yule mchawi hatakuja kusahau kamwe

    Tafadhari mkuu Lara 1 level nyingine kabisa
  3. D

    Uhusiano wa Iran na Tanzania kisasa

    Iran ndiye mdai mkubwa kabisa wa Tanzania, inawezekana anafatilia pesa yao.
  4. D

    Wapenzi wa Sidney Sheldon mpo?

    kama hivyo ila Chase anasubiri sana kwa Sheldon
  5. D

    For JamiiForums Mobile users

    inapotokea nimesahau password yangu nifanyeje kuipata upya
  6. D

    Natafuta mume

    Njoo pm
  7. D

    Wakati Kenya wakigawa laptop kwa kila mwanafunzi, Tanzania tunahangaika na madawati

    kwahiyo ulitaka wakuu wa wilaya na mikoa waache kampeni hiyo kwa kuwa hawakukuta madawati?lazima kusahihisha sehemu tuliyokosea
  8. D

    Tunahubiri elimu bure, madawati tu utata

    Elimu inatolewa bure ili kuwapa nafasi watoto wa masikini waliokua wanashindwa kwenda shule na kupunguza hao unaowaita house girls wa mwanao,hata hivyo hata hao ulitakiwa uwathamini kwa kuwa watakulelea huyo mwanao kama wanavyoendelea kuwalelea wengine wanaolaumulaumu kama wewe.
  9. D

    Kitila Mkumbo: Vyama vyote vikongwe vya siasa Tanzania,havina Demokrasia

    Kuna haja gani kukopi post nzima ili uandike sentesi yako moja??mnaboa saaana
Back
Top Bottom