Nilipitia hiyo ya Rage of Angels,ila sijui sikuhizi nimekuwaje siwezi kabisa kusoma novels,labda majukumu yamekuwa mengi au sijui ni hizi smartphones ndio zimenifanya nimekuwa hivi?hata sijielewi...
Hivi vitabu ni theme ipi, kama vya james hardley au?Smartphone mzee, zinaua sana morale ya kusoma.
Huwa najipa atleast one hour kila jioni ya kusoma kitu muhimu, mfano nikiwa na novel ya kusoma au kama kuna kitu tu cha kujielimisha nacho, inabidi unaweka ratiba na uhakikishe unaifata.
RAGE OF ANGELS NI KITABU AMBACHO NAKIPENDA MPAKA KESHO.
kama hivyo ila Chase anasubiri sana kwa SheldonHivi vitabu ni theme ipi,kama vya james hardley au?
Hmm okay..kama hivyo ila Chase anasubiri sana kwa Sheldon
Hivi vitabu ni theme ipi,kama vya james hardley au?
Nina softcopy kadhaa zake, nikizipata nitazi attach hapaingia thepiratebay.org utakuwa torrent za vitabu lukuki.
mtu aniazime hata kimoja nisome, week moja au mbili namrudishia. Tushare knowledge jamani tusiishie tu kuringishiana
Soma soft copy, huhitaji kuhangaika na hard copies ulimwengu wa sasa.
Kama ni hivyo watu wasingekuwa wanatoa hardcopies tena, kuna utofauti mkuu. sio wote wanaweza kutazama screen za simu kwa muda mrefu hao wakina Mengi na wengineo waliochapisha hard copies hawana akili kama wewe?
Naomba msaada ilivyonavyo kwa softcopy.Nnavyo baadhi katika softcopy
Naomba msaada ilivyonavyo kwa softcopy.
Kaka I guess mimi ni old school maana nimejaribu kutumia kindle kusoma novels nimeshindwa hivyo kwangu nina Library kabisa ya novels. Nimeanza kununua novels back in 1993 mpaka leo kila nikipata nafasi ya kununua hua nafanya hivyo!Sawa, lakini kukushauri tu ni kwamba walio wengi kwa sasa hizo hard copy hawahangaiki nazo sana.
Kuna vifaa vya kusomea ambavyo vinakuwa mbadala wa hardcopy, moja ya hivyo vifaa ni "kindle book reader".
Mengi katoa hardcopy, lakini pia anauza soft copy kupitia Amazon.
Kama unapata wa kukuazima hardcopy humu JF nitakulipia usafiri kukifata kitabu.
Kaka I guess mimi ni old school maana nimejaribu kutumia kindle kusoma novels nimeshindwa hivyo kwangu nina Library kabisa ya novels. Nimeanza kununua novels back in 1993 mpaka leo kila nikipata nafasi ya kununua hua nafanya hivyo!
Yap yap...Hii imekaa vizuri!Okay, the best thing unayoweza kufanya ni kama huna hard copy, unaweza kuprint kitabu page chache chache ukawa unasoma prints.
Nikiwa nasafiri huwa nina print pages za kitabu ninachokisoma, inakuwa rahisi kusoma.