Abra One
JF-Expert Member
- Jun 11, 2013
- 918
- 380
Si tatizo kama madawati. Vitabu unaweza kuvikamilisha ndani ya miezi miwili hata kwa kuomba idhini toka kwa mwandishi na kampuni na kurudufu nakala nyingi tu kwa bei nafuu. Je dawati unaweza kulirudufu? Naona unachokifanya ni kumkuza paka halafu unaanza kumuogopa kama chui.
Hivyo ulitaka serikal ianze na vitabu? Vyote mbona ni sawa tuu!! Leo wameanza madawati kesho watakuja vitabu. Wangeanza na vitabu uku wanakaa chini huenda kila baada ya mwezi tungekua tunatafuta vitabu vingine maana vumbi na uchafu vingejaa kitabuni. Madawati mpka kuharibika inachukua muda sana kuliko hivo vitabu, sasa kwa kuwa walianza na madawati tegemea vitabu sasa ewe Mtanzania.