By: Eric Allard
I’ve been in Tanzania for 30 years now and i'm proud of where this nation is at when compared to what it was when I first arrived. It was a good decision to move here then and I’ve experienced the country’s economic and infrastructure growth over the 30 years. I’ve also run my...
Hio Kitu Nilicomment Kwenye Moja ya Page za ITV Nadhani, Ukiacha Yule Mchukua Video, Kuna Jamaa Kasimama Karibia Kabisa na Mhanga, Ila Alikua Kama Kabinywa Pause, Lakini Wanafanya Hayo Kwakua Hizo Video Zinauzwa Sikuhizi, Na Hali Yenyewe Ndio Hii Imedisa
"Cha Mkufuu, Mwanafuu Ha, Na Akila Huu,
Cha Mwanafuu, Mkufuu Hu, Na Akila Ha"
#Kiswahili #SwahiliCoast #Methali #TungoTata
"Mwanafunzi Hawezi Kula cha Mwalimu na Akila Hufa, Ila Mwalimu Anaweza Kula cha Mwanafunzi na Akila Hafi"
[emoji1787][emoji23][emoji1787][emoji23][emoji1787][emoji23][emoji1787][emoji23]
Kizenji Zenji Wanaita Masjala Bayana
Sent using Jamii Forums mobile app
Nmeisoma Mara ya PiliBaada ya Kuona Mdau Mmoja Kasema Tuangalie Post Ipo Wapi, #JukwaaLaSiasa [emoji1787], Myoa Mada Umeniweza
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.