Zanzibar sio nchi kamili na km ni nchi kamili ulishawahis sikia maamuzi yeyote ya shei kwenye balaza la mawazili la huku baraaa acheni ujinga nyinyi mnatawali na wabaraaa
Najibu maswali yoyote yatokanayo na forex mwenye dought yyte nitamjibu nimekuja km mwanafunzi aliyefundishwa na mentor kutoka south africa wa ontario mwenye tatizo lolote najibu hapahapa na ushuhuda wa account yangu tokea nianze naweza kuutoaaa ukiutakaa nilianza na dola 299.5"sasa nina 926"dola
Aisee ontario kama huna wa kukusaidia during meeting mfano kugawa maji kwa walegwa thou pia nitalipia sio km nataka niwepo bure no nitalipia na pia najitolea bure kabisa km ulivyoshare na sisi bure nasi tutajitolea kwa hilo count on me plz thnx u wengine tulikuwa tunawait the moment watu...
Aiseee innalilllah waina illah raajuun so mtoa story ndio aliyefariki aisee nipo leo nimepitia hapa niangalue muendelezo nakutana na habari za kifo jamani poleni wana ndugu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.