Cryogenically Frozen: Sehemu zinatumika kuhifadhi miili ya watu waliofariki

Ndio maana sikusema haiwezekani, nimeeleza inaweza kuchukua muda.

Na Biblia hiyo hiyo inasema aonavyo mtu nafsini mwake, ndivyo alivyo.

Ukijiona au kufikiri ni wa kushindwa, utashindwa tu. Ukiwa na fikra na mawazo ya kuweza, utaweza.
Hauwezi kuwa zaidi ya vile unavyowaza.

Mind is everything.
A conscious thought only has effect as long as it is being consciously thought of But when the thought is
intensified with emotion until it generates enough momentum to continue flowing on its own and become perpetual.

The thought becomes a memory and subconscious programming that runs the whole mind.

Every true belief is not just conscious but subconscious and is tied to emotion and so a belief is an emotionalized thought.
you are the creator of your own destination but subjective consciousness yako inahitaji universal consciousness kufanikisha hilo.
 
soma vizuri maelezo yangu...lazima kuwe na human body cloned kwanza...ukifa ukabondeka bondeka tunachukua cell yako moja kisha tunarudisha copy ya mwili wako kama ulivyokuwa halafu tunapandikizia hiyo intelligent microchip ambayo tutaitoa kwenye ubongo wako( kama ulikuwa ushewekewa kifaaa cha kuapload mind kichwani mwako)

Ni process tata sana but itafanikiwa tu...its like joking but its going to happen real...

Sent using Nokia 8 Plus
Endeleeni kujidanganyaaa
 
Cloned human anaweza kuwa subjected kwenye mazingira yoyote yale yanayomwaffect binadamu pia...

It's like Wako Jacko...

He died since then but his clone was surviving na alikuwa anapatiwa matibabu kama kawaida akiugua n.k ....So ni binadamu ambaye kapewa ufahamu kupitia chip mind controller na anapata kuwa mtu katika mazingira yote ..

Sent using Nokia 8 Plus
Mkuu naomba nieleweshe hii ya Wako Jacko pls
 
Cryonics itafanikiwa but very late kabisa compared na mafanikio ya mind aploading...

Kwa msaada wa Nanotechnology kuna uwezekano wa kufanya mind( mental intelligence) apload in the future time kuliko cryonics...

Tayari kampuni ya Spacee X imeingia mkataba na kampuni ya McMullan ambayo ipo sweden tayari kuanza kutengeneza chips ambazo zitapandikizwa kwa kila embryo aliyopo tumboni kwa mama mjaamzito kwa kutumia micropipete injection au Direct Chip Innoculation(DCI) au kwa kutumia Vaccine Innoculation ili akizaliwa tayari inakuwa ishafika na kuji embed kwenye brain kisha kuanza kumonitor mind process na kuhifadhi data zake kwenye hizo subchip ambazo zina GIGABYTE ya kuhifadhi katika kufanya mind apload yake ..

Mtu akifa tayari kichipi kitakuwa kimebaki kwenye brain na tutakitoa kisha kikiweka kwenye machine ambayo tutaaanza kuona mawazo yake na process nzima ya mfumo wake wa ubongo na jinsi unaavyofanya kazi kuanzia akiwa tumboni mpaka amekua na source of death...


Manake tutakuwa tushafanya total mind apload kwa yule mtu na kuihifandhi kwenye chip.

Kumbuka mind ndo uhai wa kiumbe yoyote...hivyo ukiweza kuhamisha mind tayari umehamisha ufahamu ( consciousness ) yake...na ufahamu ndo maisha halisi ya mtu husika...

Ukifa sisi tunatoa kichip chetu kwenye ubongo ambacho kilikuwa kimelink na neural circuit zako hence kufanya mtiririko mmoja wa mind...

Hivyo consciousness yako itakuwa ipo kwenye chip coz linkage yake imefanyika since embryology yako..

Kwa hiyo kwa kuwa ufahamu wako wote utakuwa kwenye ki chip ,tutaweza kuendeleza ufahamu wako kwa kuupandikiza kwenye Artificial Human Body ambazo zitaanza kutengenezwa kwa msaada wa "Human body cloning" kupitia process za "Somatic Cell Nuclear Transfer" ambapo mtu anayehitaji kurudishwa maisha baada ya kufa atatakiwa kudonate( kutoa) cell yake moja tu kishaa tutaiprocess na kuihifadhi ili akifa tunaitimia hiyo cell yake moja kufanya exactly body cloning yake...

Kwenye human body cloning tutaweza tengeneza copy yako halisi kwa kuwa tutakuwa na access ya cell zako pindi ukiwa hai...hivyo tutakuclone ili tupate exactly copy ya mwili wako kisha kuweka ile chip yako iliyosynchronize kwa kuhifadhi intelligence yako ....hapa tutaweza kuseparate intelligence ya clone na yko kwani kwenye ile cell yako tutaweza kuitoa gene inayohusika na intelligence ili tutakapofanya cloning ya mwili wako basi ubongo uje ukiwa hauna Intelligence make accesss ya intelligence yako tunayo kupitia ile chip...tutatakiwa kuipandikiza tu kisha kufanya total memory back up kwa mashine maalumu na mwili utaaanzaa kufanya kazi na ufahamu wako utakufanya ukukumbuke kabisa kuwa ni wewe na utajiona ulikuwa umelela usingizi mzito na sasa umeamka..

Baada ya hapo utaweza kuwa hai tena ,ikumbukwe kuwa kuanzia process zote tangu ulipozaliwa na kukua na kuinteract na watu mpaka ulivyokuwa na mpaka ulipofikia hatua ya kufa taarifa zipo kwenye ubongo wako ambao ndo ile chip yako ..

So that's how human being is going to survive under several phases huku kumbukumbu yako ikiwa ndo msaada pekeee wa kukurudisha ulipoishia...

So Cryonics inaweza ikafeli au ikachelewa kama nanotechnology itawahisha utengenezaji wa chip amazo zitakuwa na bytes maalumu katika kufanya mind apload ...

All in all science is fantasy .......

Sent using Nokia 8 Plus
Naomba kujua cloning kupata mwili ulio sawa kimaumbile na kifizikali itachukua miaka ileile aliyoishi marehemu hadi siku anakufa?
 
Where can I get the truth?
just understand deeply how the structure of controlling matrix of life is...

The system is self protective but it's made up of us..

You can hack into the system and understand why it is there and why you are here......

after that ,you can know why the system is destructive to it's own components which tend to form it....

We are subjected into illusions while reality being kept far from us....

Those who get to know the truth before the system revealing to them get trapped and convicted as well as being subjected to death or being recopied and fabricated into easy controllable manner...
so choose where to stay....but your mind can stop all that nad perceive into reality......nothing stops your mind that sees under reality
 
Back
Top Bottom