Nimekuwa nikifatilia mijadala ya UKIMWI humu kwa muda mrefu na haya ninayotaka kuyasema humu yalishasemwa na mimi nimeyashuhudia siku chache zilizopita kwa majirani zangu.
Jirani yangu huyu aliugua sana na kulazwa, Dokta akaamuru aje na mke wake na watoto wote wapimwe (hapa nahisi alikuwa na...
Mimi nilimkopesha mama wangu wa kambo ukapita muda alosema atarudisha. Kilichotokea akawa anajistukia hata ukimpigia kumsalimia au kumpasha habari yoyote na nilipogundua hivyo ikabidi ile pesa nimwambie aachane nayo nikasema akiipata ammeongezee kwenye ada ya mjukuu wake anayekaa naye ndo...
Wewe ndo hauna hautumii ubongo wako vizur kifikiri kila ukipokea kitu ni kukubali tu, haufikirii upande mwingine ningekuwa karbu na wewe ningeset watu wakutaje hapo akili zingekuingia.Hapa hakuna anapenda hivyo vitendo ila tunaangalia hiyo adhabu waliopewa hao walimu ni kweli ndo wahusika...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.