Habari wadau wa JF, kuna mtu wangu wa karibu kanitumia huu ujumbe , ananishawishi nijiunge ili nami nipate kipato cha ziada.
Swali, je hii sio scam kweli? Kwa wanaofahamu naomba mnipe elimu
Leo burnett London (LBL) wanakupa task mbalimbali ikiwemo hii ambayo unatakiwa kutazama movie na...
Naomba kuuliza, je hii mifuko ya kijamii e.g NSSF fao la uzazi wakikupa , fedha wanakuwa wameipunguza kwenye michango yako, au wanakupa free kwa sababu michango yako inawazalishia riba.
Wakuu naombeni mnisaidie mambo mawili
1. Makato mapya ya uwakala nataka nifahamu, maana nilitoa pesa 1,700,000 wamekata 11,500.
2. Pia naomba nijue kupata taarifa fupi za mwezi za miamala za akaunt yangu , kwenye app wananipa za muda mfupi tu
Habari wakuu
Nipo Iringa mjini, nina kiwanja ndani ya halimashauri, kwa wazoefu eti kibali cha ujenzi kina gharama zipi na process zipi nifuate ili niwe nacho.
Na je kinapatikana baada ya muda gani?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.