Huwa sitoi Hela kwa wakala.Mimi jana nmetoa 50k wamekata 5k nikabakia kusema tu huu wiz sasa bas
Kushinda crdb kuangalia salio tu 3kNMB ndio Benki inaongoza kuwa na makato makubwa kuliko zote hasa kama unatoa zaidi kwa mawakala nashauri tumia ATM kama unatoa pesa