Ditex JF-Expert Member May 19, 2018 277 868 Sep 6, 2023 #1 Habari wakuu Nipo Iringa mjini, nina kiwanja ndani ya halimashauri, kwa wazoefu eti kibali cha ujenzi kina gharama zipi na process zipi nifuate ili niwe nacho. Na je kinapatikana baada ya muda gani?
Habari wakuu Nipo Iringa mjini, nina kiwanja ndani ya halimashauri, kwa wazoefu eti kibali cha ujenzi kina gharama zipi na process zipi nifuate ili niwe nacho. Na je kinapatikana baada ya muda gani?
Robot la Matope JF-Expert Member Apr 10, 2015 7,052 13,707 Sep 6, 2023 #2 Kiwanja kimepimwa?? Una ramani ya ujenzi? Afu 50 ya griss? Kibali ni around 200K
Ditex JF-Expert Member May 19, 2018 277 868 Sep 6, 2023 Thread starter #4 Ramani ni mchoro wangu mwenyewe