Nafikiri labda lugha sahihi hapa si uhanithi huu tunaoufikiri bali ni kuwa 'impotent' kuto disa. Hizi myth tuliwakuta nazo wazee wetu! Haidhuru kama unaziamini au huziamini zenyewe huwa zina take effect tu. Na si hiyo moja tu niliambiwa na bibi yangu kuwa kitovu kikiangukia kwa mtoto wa kike...
Ni kawaida host country kuchelewa ku approve jina la new foreign envoy! Si jambo geni ni normal procedure na wala haifanyiki on purpose! Ni mwingiliano tu wa ratiba! Msihusishe hili jambo na uhusiano na dini/malaysia
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.