Mfanyabiashara Ataka Kujirusha Daraja la Ubungo

Mfanyabiashara Ataka Kujirusha Daraja la Ubungo

Huitwa kikosi cha zimamoto na uokozi! Si lazima uwe moto hata mtu akizama kikosi hiki huja kuokoa

Sawa kabisa, Lakini ndiyo hao walishindwa kumtoa mtoto aliyefia kwenye dimbwi la maji pale karibu na Mlimani City,
 
Sawa kabisa, Lakini ndiyo hao walishindwa kumtoa mtoto aliyefia kwenye dimbwi la maji pale karibu na Mlimani City,
Sasa ujuzi na vifaa ni issue ingine! I think they should recruit qualified staff eg divers etc
 
Sijaelewa gari la zimamoto linahusikaje hapo na mtu kutaka kujirusha, hawa polisi inabidi waende kusoma upya intelijensia
 
Hawa nao wanaoendaga kujirusha mbele za watu ni biti tu, hamna kujiua hapo....
Kwanini asijiue nyumbani, au asinunue kisumu cha panya akakinywa make sifa moja wapo ya suicide ni secrecy!!!!
Kawapotezea watu muda tu wa kumshangaa angejiua
Na hiyo papuchi nimuachie nani..?
 
Sasa ujuzi na vifaa ni issue ingine! I think they should recruit qualified staff eg divers etc

Kabisa, unakumbuka walifika pale na gari la zimamoto wakaanza kukoroga maji ya kwenye dimbwi na jiti, wananchi wakawapuuza wakajitosa wenyewe wakaipata maiti
 
Teh,kwa hiyo hao zimamoto walienda kuzima hasira za bwana Shayoo. ?!?!
Hayo magari yalikua na maji kweli au ndio walitumia hasira extinguisher!
Mkuu kwani hujui magari ya zimamoto pia huwa ngazi?na ngazi ndo zinatumika kupanda kuokoa kwenye matukio kama haya
 
Hawa nao wanaoendaga kujirusha mbele za watu ni biti tu, hamna kujiua hapo....
Kwanini asijiue nyumbani, au asinunue kisumu cha panya akakinywa make sifa moja wapo ya suicide ni secrecy!!!!
Kawapotezea watu muda tu wa kumshangaa angejiua

Watu wa kwa kina Lowasa na mbowe ni matatizo tupu.
 
Sijaelewa gari la zimamoto linahusikaje hapo na mtu kutaka kujirusha, hawa polisi inabidi waende kusoma upya intelijensia

Mkuu haina haja ya kukimbilia kucoment....soma kwanza comment za wenzio ndo uchangie.....samahani kama nimekuudhi.
 
Back
Top Bottom