Anaamkaje bila pesa? ukiwanacho ni rahis kuona walokosa wote wazembe!siajab anafanya vbarua au vibiashara anachoambulia ni hela ya kula tu,na anawategemez kumi kdg!
"there are things in life u ll neva understand until it happens to u!"
Msicha Anaefuata Mziki Mara nying hawi available atakua na kaka ake au kikund cha marafiki ,hawez kuwa peke yake sabab anajua risk yake,sio rahis wewe ht uwe mkware vp ukapata nafas ya kulala nae labda upate contacts umtafute siku nyingne,pia wanaume wakibongo ustaarab bado wakigundua mdada yuko...
Kwa taarifa yako wazaz wa ushuan ndo wanaelewaga hayo mambo ya watoto wao kwenda clubbing wanawapa na magar kabisa!
Wauswaz Sana Wanaenda sababu hamna anaewafuatilia
Familia za hapo kati ya uswaz na ushuan sana ndo huwez kuta mtoto wao anaenda club labda kwa kutoroka!
Kila jambo na wkt wake huyo...
Mh Hv Haya ni majukumu ya mke au ni mazoea tu sababu zaman wanawake hawakuwa na majukum mengine katka jamii!
mke si mpishi,wala dobi wako kufanya ivyo au kutokufanya haimuondolei sifa ya kuwa mke
hata kazin pamoja na kwamba unalipwa mshahara once in a while company or ur boss show u appriciation...
Umeongea Kitu cha maana tatizo wanaume walio wengi hawajuag namna ya kuachana na wanawake wao sababu walipowatafuta waliwamwagia ahad lukuki!
Wanaume waanze kubadilika wanapoanzisha mahusiano wasiweke ahad ambazo hawawez kutimiza,inatosha kumwambia msichana unampenda unataka kuwa nae,km yupo...
Utakuja Kulia kilio cha samaki machoz kwenda na maji!
waliosubiri km wewe wameishia ivo, mtoto wa form one hajui hata nin anataka wala mapenzi ni nin nakuhakikishia siku akiyajua hayo usishangae kuambiwa wewe si mwanaume wa ndoto zake!sijui utakua na umri gan bythen ila km unafikiri fustration...
Hv si wanasemaga ndoa inaunganisha familia mbili kuwa moja na ndugu,sasa kigugumiz kinatoka wap?
kwanin zaman uliweza saa hv unaona ngumu?au sabab umepata ulichotaka kutoka kwao
wachukulie ndugu wa mkeo km ndugu zako
inasemeka mwanaume aliye karibu sana na ndugu wa mkewe hujiwekea nafas nzuri...
Huo ni mfano mmoja tu!
umewahi kujiuliza kwanin watu weng huwathamin na kuwapenda zaid mama zao?
umewah kufanya utafiti ukagundua familia nying ambazo mama ametangulia kufariki watoto hupata shida sana na familia husambaratika ht km baba yupo vizur kipesa!
Mwanamke ktk ndoa ndo mvumilivu mkuu...
Kuna Wanawake Wasagaj Pia,wanawake Mastista ni wengi kuliko mapadri,wanawake wanakufa wengi kwa uzazi na kansa ya uzaz na matiti!
Kwanin Kuna Mwanamke Mmoja Anakua na wanaume zaid ya mmoja!?
The world is nt fair, hata useme wawe na wanawake kumi bado wapo watakaobaki!
tukirud kwenye uhalisia wa...
Hahaha inawezekana... mana ana hasira sana na wasichana sababu ya huyo msichana mmoja... mbaya zaid labda alimtokea demu wa mbabe wa mtaa akaenda kumsemea...si unajua wavulana wanakuaga na makundi ukitongoza demu wa mmoja wanakujia kundi zima kukuwashia moto! u teenager una mbwembwe zake!
Inawezekana au umekua katika mazingira ya kubanwa sana kwa hyo hukupata kupitia steji ambayo unatongozwa mpk hutak tena kusikia habari hizo ivo ndo unapitia sasa!
"That Must Be a girl not a woman!"
Huyo Atakua Msichana na sio mwanamke mkuu!
wasichana ndo wanaushamba wakutongozwa wasamehe wakikua wataacha!
kugombaniwa na wanaume ni sifa kwa msichana kwa mwanamke ni aibu!
Mwanamke ana kifua hata akitongozwa na baba mkwe Hasemi!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.