Mmhh hii tabia mbona nnayo.... Kwa maana hiyo bado sijakua
Inawezekana au umekua katika mazingira ya kubanwa sana kwa hyo hukupata kupitia steji ambayo unatongozwa mpk hutak tena kusikia habari hizo ivo ndo unapitia sasa!
Mmhh hii tabia mbona nnayo.... Kwa maana hiyo bado sijakua
Uyu mtongozaji(mtoa mada) nae ni mvulana sio mwanaume.... Mwanaume hawezi kuleta uzi uo apa.... Wamekutana waache."That Must Be a girl not a woman!"
Huyo Atakua Msichana na sio mwanamke mkuu!
wasichana ndo wanaushamba wakutongozwa wasamehe wakikua wataacha!
kugombaniwa na wanaume ni sifa kwa msichana kwa mwanamke ni aibu!
Mwanamke ana kifua hata akitongozwa na baba mkwe Hasemi!
Stunter uliemtongoza na wewe wote akili zenu sawa... Hapo kuna mvulana na msichana na sio mwanamke na mwanaume..... Tena badilisha uzi sema wasichanaHivi Mwanaume anapopiga moyo konde akaja
kukutongoza, jibu si unakuwa nalo mwenyewe???
Kwani anakuwa ametongoza ukoo mzima,au
ndugu wote, au amemtongoza na Boyfriend wako
kwa pamoja??
Kama jibu ni hapana mwambie tu, Am sorry siwezi kuwa na wewe coz nna Boyfriend tayari...Au sihitaji
Boyfriend kwa sasa...Majibu yako mengi na unayo
wewe uliyetongozwa!Simple
Sasa wewe unatongozwa,unaenda kumwambia
Boyfriend wako, ''ohhh u know that guy Masoud???
Kanitongoza nimemkataa''....So what?? Ili uonekane ulielewa sana matumizi ya NO au unamuimpress nani?? Mbona wale uliowakubali hukumpelekea
ripoti??
Usijifanye una Mapenzi ya Halmashauri
kupeleka ripoti kwa CAG,ukitongozwa jibu
unalo, ndo nyie mnafanya Wanaume wapigane visu
ili mtafute ujiko kwamba fulani na fulani wamenigombania, we umekuwa Jimbo laUchaguzi?
Kesi ya Nyani mmalizane nyani kwa nyani, mpe jibu
nyani humtaki aende zake,ya nini kuwaalika
Tumbili wawe mashahidi???
Umenikosha kweli baba mkwe tena>?
Uyu mtongozaji(mtoa mada) nae ni mvulana sio mwanaume.... Mwanaume hawezi kuleta uzi uo apa.... Wamekutana waache.
mmmmmh unamaakili kama niniHivi Mwanaume anapopiga moyo konde akaja
kukutongoza, jibu si unakuwa nalo mwenyewe???
Kwani anakuwa ametongoza ukoo mzima,au
ndugu wote, au amemtongoza na Boyfriend wako
kwa pamoja??
Kama jibu ni hapana mwambie tu, Am sorry siwezi kuwa na wewe coz nna Boyfriend tayari...Au sihitaji
Boyfriend kwa sasa...Majibu yako mengi na unayo
wewe uliyetongozwa!Simple
Sasa wewe unatongozwa,unaenda kumwambia
Boyfriend wako, ''ohhh u know that guy Masoud???
Kanitongoza nimemkataa''....So what?? Ili uonekane ulielewa sana matumizi ya NO au unamuimpress nani?? Mbona wale uliowakubali hukumpelekea
ripoti??
Usijifanye una Mapenzi ya Halmashauri
kupeleka ripoti kwa CAG,ukitongozwa jibu
unalo, ndo nyie mnafanya Wanaume wapigane visu
ili mtafute ujiko kwamba fulani na fulani wamenigombania, we umekuwa Jimbo laUchaguzi?
Kesi ya Nyani mmalizane nyani kwa nyani, mpe jibu
nyani humtaki aende zake,ya nini kuwaalika
Tumbili wawe mashahidi???
Mimi ni Gentleman, tena niombe radhi kabisa...Stunter uliemtongoza na wewe wote akili zenu sawa... Hapo kuna mvulana na msichana na sio mwanamke na mwanaume..... Tena badilisha uzi sema wasichana
Double standard inawatesa nyie,Hahaha inawezekana... mana ana hasira sana na wasichana sababu ya huyo msichana mmoja... mbaya zaid labda alimtokea demu wa mbabe wa mtaa akaenda kumsemea...si unajua wavulana wanakuaga na makundi ukitongoza demu wa mmoja wanakujia kundi zima kukuwashia moto! u teenager una mbwembwe zake!
Hivi Mwanaume anapopiga moyo konde akaja
kukutongoza, jibu si unakuwa nalo mwenyewe???
Kwani anakuwa ametongoza ukoo mzima,au
ndugu wote, au amemtongoza na Boyfriend wako
kwa pamoja??
Kama jibu ni hapana mwambie tu, Am sorry siwezi kuwa na wewe coz nna Boyfriend tayari...Au sihitaji
Boyfriend kwa sasa...Majibu yako mengi na unayo
wewe uliyetongozwa!Simple
Sasa wewe unatongozwa,unaenda kumwambia
Boyfriend wako, ''ohhh u know that guy Masoud???
Kanitongoza nimemkataa''....So what?? Ili uonekane ulielewa sana matumizi ya NO au unamuimpress nani?? Mbona wale uliowakubali hukumpelekea
ripoti??
Usijifanye una Mapenzi ya Halmashauri
kupeleka ripoti kwa CAG,ukitongozwa jibu
unalo, ndo nyie mnafanya Wanaume wapigane visu
ili mtafute ujiko kwamba fulani na fulani wamenigombania, we umekuwa Jimbo laUchaguzi?
Kesi ya Nyani mmalizane nyani kwa nyani, mpe jibu
nyani humtaki aende zake,ya nini kuwaalika
Tumbili wawe mashahidi???
umekua jimbo la uchaguzi...kesi ya nyani imalizwe na nyani..

Yaani ujumbe umewafika tena penyewe ila watajifanya wanaikomaza Valentine ili waonekane nao ni wekunduYani kumbe sio binaadamu??? Au ??


kwahiyo umepigwa mitama ya mabega na bwana wa mtu....Mmhh....Inawezekana au umekua katika mazingira ya kubanwa sana kwa hyo hukupata kupitia steji ambayo unatongozwa mpk hutak tena kusikia habari hizo ivo ndo unapitia sasa!
Akuuuh miii sio Mfano eeeKumbe mifano hai ipo humuhumu