Wanawake acheni hii tabia, Inakera

Wanawake acheni hii tabia, Inakera

Mmhh hii tabia mbona nnayo.... Kwa maana hiyo bado sijakua

Inawezekana au umekua katika mazingira ya kubanwa sana kwa hyo hukupata kupitia steji ambayo unatongozwa mpk hutak tena kusikia habari hizo ivo ndo unapitia sasa!
 
"That Must Be a girl not a woman!"
Huyo Atakua Msichana na sio mwanamke mkuu!
wasichana ndo wanaushamba wakutongozwa wasamehe wakikua wataacha!
kugombaniwa na wanaume ni sifa kwa msichana kwa mwanamke ni aibu!
Mwanamke ana kifua hata akitongozwa na baba mkwe Hasemi!
Uyu mtongozaji(mtoa mada) nae ni mvulana sio mwanaume.... Mwanaume hawezi kuleta uzi uo apa.... Wamekutana waache.
 
Hivi Mwanaume anapopiga moyo konde akaja
kukutongoza, jibu si unakuwa nalo mwenyewe???
Kwani anakuwa ametongoza ukoo mzima,au
ndugu wote, au amemtongoza na Boyfriend wako
kwa pamoja??

Kama jibu ni hapana mwambie tu, Am sorry siwezi kuwa na wewe coz nna Boyfriend tayari...Au sihitaji
Boyfriend kwa sasa...Majibu yako mengi na unayo
wewe uliyetongozwa!Simple

Sasa wewe unatongozwa,unaenda kumwambia
Boyfriend wako, ''ohhh u know that guy Masoud???
Kanitongoza nimemkataa''....So what?? Ili uonekane ulielewa sana matumizi ya NO au unamuimpress nani?? Mbona wale uliowakubali hukumpelekea
ripoti??

Usijifanye una Mapenzi ya Halmashauri
kupeleka ripoti kwa CAG,ukitongozwa jibu
unalo, ndo nyie mnafanya Wanaume wapigane visu
ili mtafute ujiko kwamba fulani na fulani wamenigombania, we umekuwa Jimbo laUchaguzi?

Kesi ya Nyani mmalizane nyani kwa nyani, mpe jibu
nyani humtaki aende zake,ya nini kuwaalika
Tumbili wawe mashahidi???
Stunter uliemtongoza na wewe wote akili zenu sawa... Hapo kuna mvulana na msichana na sio mwanamke na mwanaume..... Tena badilisha uzi sema wasichana
 
Uyu mtongozaji(mtoa mada) nae ni mvulana sio mwanaume.... Mwanaume hawezi kuleta uzi uo apa.... Wamekutana waache.

Hahaha inawezekana... mana ana hasira sana na wasichana sababu ya huyo msichana mmoja... mbaya zaid labda alimtokea demu wa mbabe wa mtaa akaenda kumsemea...si unajua wavulana wanakuaga na makundi ukitongoza demu wa mmoja wanakujia kundi zima kukuwashia moto! u teenager una mbwembwe zake!
 
Hivi Mwanaume anapopiga moyo konde akaja
kukutongoza, jibu si unakuwa nalo mwenyewe???
Kwani anakuwa ametongoza ukoo mzima,au
ndugu wote, au amemtongoza na Boyfriend wako
kwa pamoja??

Kama jibu ni hapana mwambie tu, Am sorry siwezi kuwa na wewe coz nna Boyfriend tayari...Au sihitaji
Boyfriend kwa sasa...Majibu yako mengi na unayo
wewe uliyetongozwa!Simple

Sasa wewe unatongozwa,unaenda kumwambia
Boyfriend wako, ''ohhh u know that guy Masoud???
Kanitongoza nimemkataa''....So what?? Ili uonekane ulielewa sana matumizi ya NO au unamuimpress nani?? Mbona wale uliowakubali hukumpelekea
ripoti??

Usijifanye una Mapenzi ya Halmashauri
kupeleka ripoti kwa CAG,ukitongozwa jibu
unalo, ndo nyie mnafanya Wanaume wapigane visu
ili mtafute ujiko kwamba fulani na fulani wamenigombania, we umekuwa Jimbo laUchaguzi?

Kesi ya Nyani mmalizane nyani kwa nyani, mpe jibu
nyani humtaki aende zake,ya nini kuwaalika
Tumbili wawe mashahidi???
mmmmmh unamaakili kama nini
 
Stunter uliemtongoza na wewe wote akili zenu sawa... Hapo kuna mvulana na msichana na sio mwanamke na mwanaume..... Tena badilisha uzi sema wasichana
Mimi ni Gentleman, tena niombe radhi kabisa...
Hilo ni kosa lenu wanawake, muwe mnachunga mabakuli yenu
 
Hahaha inawezekana... mana ana hasira sana na wasichana sababu ya huyo msichana mmoja... mbaya zaid labda alimtokea demu wa mbabe wa mtaa akaenda kumsemea...si unajua wavulana wanakuaga na makundi ukitongoza demu wa mmoja wanakujia kundi zima kukuwashia moto! u teenager una mbwembwe zake!
Double standard inawatesa nyie,
 
Hivi Mwanaume anapopiga moyo konde akaja
kukutongoza, jibu si unakuwa nalo mwenyewe???
Kwani anakuwa ametongoza ukoo mzima,au
ndugu wote, au amemtongoza na Boyfriend wako
kwa pamoja??

Kama jibu ni hapana mwambie tu, Am sorry siwezi kuwa na wewe coz nna Boyfriend tayari...Au sihitaji
Boyfriend kwa sasa...Majibu yako mengi na unayo
wewe uliyetongozwa!Simple

Sasa wewe unatongozwa,unaenda kumwambia
Boyfriend wako, ''ohhh u know that guy Masoud???
Kanitongoza nimemkataa''....So what?? Ili uonekane ulielewa sana matumizi ya NO au unamuimpress nani?? Mbona wale uliowakubali hukumpelekea
ripoti??

Usijifanye una Mapenzi ya Halmashauri
kupeleka ripoti kwa CAG,ukitongozwa jibu
unalo, ndo nyie mnafanya Wanaume wapigane visu
ili mtafute ujiko kwamba fulani na fulani wamenigombania, we umekuwa Jimbo laUchaguzi?

Kesi ya Nyani mmalizane nyani kwa nyani, mpe jibu
nyani humtaki aende zake,ya nini kuwaalika
Tumbili wawe mashahidi???
umekua jimbo la uchaguzi...kesi ya nyani imalizwe na nyani..
 
Inawezekana au umekua katika mazingira ya kubanwa sana kwa hyo hukupata kupitia steji ambayo unatongozwa mpk hutak tena kusikia habari hizo ivo ndo unapitia sasa!
Mmhh....
 
Style uliyoenda nayo ndo imesababisha,Akahadithie Kwa boy friend wake. Au huwa unajidai sanaaaa. Akaona bora akuumbue. Au wanafunzi ndio wanatabia hiya. Sio wanawake wote... Embu tutake radhi [HASHTAG]#stunter[/HASHTAG]
 
Back
Top Bottom