Wanawake acheni hii tabia, Inakera

Wanawake acheni hii tabia, Inakera

"That Must Be a girl not a woman!"
Huyo Atakua Msichana na sio mwanamke mkuu!
wasichana ndo wanaushamba wakutongozwa wasamehe wakikua wataacha!
kugombaniwa na wanaume ni sifa kwa msichana kwa mwanamke ni aibu!
Mwanamke ana kifua hata akitongozwa na baba mkwe Hasemi!
Umenikosha kweli baba mkwe tena>?
 
Kuna wasichana wanaweza kukuonesha kila dalili kuwa atakubari kumbe anataka umtongoze ili akupige kibuti na kukutangaza
 
Aisee basi bora tuiache nature ifuate mkondo wake
Mkuu, kweli ni ngumu kupingana na nature ila kwa hawa wetu naona kama wana nature yao ya kipekee.

Unaweza kukuta mwanamke ameolewa yuko ndoa lakini ikipita miezi minne hajajaribiwa hata na mwanaume mmoja, anaanza kudevelope sense of insecurity(kujiona ameshuka soko)
 
Kuna wasichana wanaweza kukuonesha kila dalili kuwa atakubari kumbe anataka umtongoze ili akupige kibuti na kukutangaza
Hao ndo malimbukeni haswaaaa, akili zao zimeingia mafuta ya taa
 
Mkuu, kweli ni ngumu kupingana na nature ila kwa hawa wetu naona kama wana nature yao ya kipekee.

Unaweza kukuta mwanamke ameolewa yuko ndoa lakini ikipita miezi minne hajajaribiwa hata na mwanaume mmoja, anaanza kudevelope sense of insecurity(kujiona ameshuka soko)
Hahaha mkuu basi, manake ukiendelea utavumbua siri zetu za kuwakamata watoto wakali... Hahah wajanja tunacheza na udhaifu
 
Haahaahaahaa daah pole sana mwanzilishi wa uzi huu kwani inaonyesha wazi ulichezea chaga za kutosha baada ya kuparamia wanawake kadhaa kwa mitongozo yako ya hovyohovyo bila kuzingatia muktadha pia na mudi/saikolojia ya mwanamke unaetaka kumtongoza
NOTE: Ukiwa mkurupukaji ktk kutongozo utakuwa ni wakuchezea chaga na kutangazwa kila siku
 
haahhaaa eti mapenz ya halmashuri noma Sana mkuu nakubali uwashilishaji wako ila pia hao ni wasichana real woman hana ujinga huo
 
haahhaaa eti mapenz ya halmashuri noma Sana mkuu nakubali uwashilishaji wako ila pia hao ni wasichana real woman hana ujinga huo
Hhahaha, tatizo kuwatofautisha ndio mtiti, hajulikani Woman yupi, girl yupi... Wote matendo yao na uwezo wa kufikiri unafanana kwa kiasi kikubwa
 
Haahaahaahaa daah pole sana mwanzilishi wa uzi huu kwani inaonyesha wazi ulichezea chaga za kutosha baada ya kuparamia wanawake kadhaa kwa mitongozo yako ya hovyohovyo bila kuzingatia muktadha pia na mudi/saikolojia ya mwanamke unaetaka kumtongoza
NOTE: Ukiwa mkurupukaji ktk kutongozo utakuwa ni wakuchezea chaga na kutangazwa kila siku
Sasa mkuu unashauri kabla ya kutongoza tufanyeje?
 
Wacha weee... Kwa huu muono ulionao inaonyesha dhairi wewe sio wa miaka hii, muono adimu sana huu dada.

Halafu wala...huhitaji kusubir kuwa mtu mzima sana kuwa na busara ,ni kufikiria kikawaida tu!
 
Back
Top Bottom