mwanamke mwenye Busara humshukuru mumewe kwa moja kubwa "kumchagua"
hayo mengine ni viherehere vyenu,
wewe upo nyumbani, mi nimekununulia mavazi malazi, mafuta mazuri, nimekutia mimba "ukapata" watoto nikuhemelee upike halafu uninunie eti sijakushukuru kwa chakula!
Shenzi kabisa,
kwanza wanawake hamridhiki kwa chochote,
MUNGU kawawekea makalio mnaona hayawatoshi mnaweka ya bandia, kucha bandia, nywele za marehemu, rangi ya kipodozi, sura yenye wanja nashedo, Ngozi zenye michoro ya ina(sijui hina) hadi sauti za kuigiza!!
Sisi wanaume tutawaridhisha tuwaweze????
mi roho yenu inaendana na nyoka, maana alipowadanganya mlikubali!
(Si wote ila wengi wenu)
Samahani kwa wale wasiomkosoa MUNGU ktk maumbile yao au ya wenzao