Recent content by Disailly

  1. D

    Tuwalinganishe Katibu Mkuu CCM na wa CHADEMA

    Huwezi linganisha messi na msuliva , kinana ni habari nyingine kaka masingi ni nani na hajulikani hata kwa wanachadema lambda ungesema slaa
  2. D

    Kiwanja/Shamba Linauzwa

    Wadau like shamba bado lipo halijachukuliwa
  3. D

    Kiwanja/Shamba Linauzwa

    Kiwanja /shamba linauzwa Lina ukubwa wa eka 1 na nusu lipo Kibaha Mathias upande kilometa Moja na nusu toka Barabara ya morogoro kwenye kitongoji kiitwacho Jamaica being ni maelewano na ina HATI MILIKI Piga Simu 0714973871
  4. D

    Nauza RAUM NO C

    5 vipi kaka
  5. D

    Dkt. Mpango: Kodi si tatizo Bandarini

    Mkuu wa nchi kasema kodi kwanza mambo mengine baadae
  6. D

    Ujumbe wa baraza la vijana CHADEMA (BAVICHA kuipasua CCM vipande vipande)

    Kama wewe nI kidume nenda Dodoma kafanye unayotaka kuyafanya unaona mkono wa she ria unavyofanya kazi utawekwa mahali salama na jamii yako itapata tabu kwa ujinga wako na kutafuta sifa usizopata watu wa mwigulu wanakusubili
  7. D

    Wakuu wa Wilaya siku zote ni makada wa CCM, hawa majenerali wameteuliwa kwa kigezo gani?

    Unajua kama rais atamchagua mwanajeshi au polis I kuwa mkuu wa mkoa au wilaya name kuwmambia nenda katekeleze ilani ya uchaguzi ya ccm ni hivi askari kwa kipindi hicho anatekeleza maagizo ya amir I jeshi mkuu wa kipindi hicho hata kama atakuwa chadema amir I jeshi mkuu mwanajeshi Hugo atakuwa...
  8. D

    Safi sana wabunge wa UKAWA

    kazi ipo
  9. D

    Rais wa Rwanda, Paul Kagame kufungua maonesho ya Sabasaba. Kufanya mazungumzo na Rais Magufuli

    Tuipige , na nani we mpinga juhudi za rais au hivi kweli we we unataka maendeleo ya haraka kweli kila kit kupinga ndio maana rais amesema msimcheleweshe name uchaguzi umekwisha salsa no kazi tu
  10. D

    Baba Jakaya Kikwete tutakukumbuka daima, Baba Kikwete Tunakulilia sana, Kikwete wewe ni Kiongozi

    Unajua kila zama na wakati wake utawala wa mwinyi ni ruksa na utawala wa mkapa ni kukusanya kodi na utawala wa jk ulitoa Uhuru wa kila MTU kujiamulia na wa jpm ni wa hapa kazi tu nI kweli maisha magumu lakini hii no bajeti take ya kwanza na kama alivyosema kakuta hazina haina kitu tusimuukumu...
  11. D

    Yametimia: Wenye nyumba sasa kulipa kodi

    Mtoa Uzi amekurupuka kuleta Uzi usiokamilika hebu fafanua kaka kodi gani hiyo n
Back
Top Bottom