Ndugu chiwa,
Umeongea mambo mazito sana na yenye maana kubwa sana kwa wanandoa hawa na hata wengine watakaobahatika kusoma thread hii. Nitawasiliana na jamaa ili tukupm, kwani unaweza ukawa msaaada mkubwa sana katika jambo hili. Ahsante sana kwa muda wako na ushauri mzuri sana.
Wapendwa nawashukuru sana kwa michango yenu katika jambo hili. Leo wkt wa lunch nimeonana na rafiki yangu. Tumejaribu kuongea in a positive way ili kwanza atulie ili baadaye tuweze kuangalia lipi la kumshauri rafiki yangu. Hakika rafiki yangu anahitaji msaada, kwani hali hii inamuumiza sana...
Wanajamvi,
Nawashukuru sana kwa ushauri wenu murua. Nahaidi kumshirikisha rafiki yangu katika hii thread ili tusome wote kabla ya kumshauri nini cha kufamya, kwani penye nia hapakosi muafaka na penye wengi hapaharibiki kitu. Naomba wadau muendelee kutoa ushauri katika jambo hili. Natanguliza...
wewe si ndiyo umeleta thread ya kumsifia Mwigulu? Kamwe CHADEMA haijawahi na haitokuwa na wanachama wa aina yako, hivyo ACHA KUPOTOSHA JAMII. FULL STOP.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.