Naomba hapo ndo watu wanakosea sana kuchukia mzazi mmoja eti aliwatelekeza na hasa vijana waliofanikiwa kifedha ndo wanapenda kusema hivyo eti ooooooh mafanikio yangu baba hajashiriki chochote. Mimi naona huo ni ujinga je unafikiri baba asingekutana na mama ungepatikana wapi. Lakini pia...
Mungu atakusaidia utampata ila pia hakikisha nawe umepitia sababu zilizosababisha uachane na hao waliopita na uone kama na wewe una mapungufu yako ili uyarekebishe
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.