Ninatafuta mpenzi/mume nipo serious

Ninatafuta mpenzi/mume nipo serious

Wewe hujamgundua huyu mama?ni wale wamebutuliwa kwenye mapenzi tena kwa kutafuta ugomvi wao wenyewe then huachwa na kuishia hasira na gadhabu ndo wanapotea kabisaaaa! Mi nilishakua na mtu wa hvyo na nilijuta mpaka leo,hua wanakuja kama wema na anza kua nae uone moto wake,wanakua wameharibu toka enzi za usichana ila hua hawakubali kua waliharibu,ukiwauliza hua wanashutumu na kusema yani wanaume hawa!!! Sitakuja kumuamini mwanaume tena maishani,hujakutana na wa hvyo???ndo hawa sasa
Pole sana. Usipende kulinganisha kila MTU na yaliyokukuta. Miami ningelinganisha usingenikuta hapa na andiko langu. Maisha ni kujifunza. Nimeomba kama una mihemuko unapita andiko langu kwa mbali sana. Sijazoea ugomvi wala malumbano yasiyo na tija. Asante kwa kuheshimu maamuzi yangu. Miami ni MTU mzima.
 
Pole sana. Usipende kulinganisha kila MTU na yaliyokukuta. Miami ningelinganisha usingenikuta hapa na andiko langu. Maisha ni kujifunza. Nimeomba kama una mihemuko unapita andiko langu kwa mbali sana. Sijazoea ugomvi wala malumbano yasiyo na tija. Asante kwa kuheshimu maamuzi yangu. Miami ni MTU mzima.
Kauli tu unazozitumia zinanipa majibu ya wewe ni wa namna gani,any way safari njema
 
Wewe hujamgundua huyu mama?ni wale wamebutuliwa kwenye mapenzi tena kwa kutafuta ugomvi wao wenyewe then huachwa na kuishia hasira na gadhabu ndo wanapotea kabisaaaa! Mi nilishakua na mtu wa hvyo na nilijuta mpaka leo,hua wanakuja kama wema na anza kua nae uone moto wake,wanakua wameharibu toka enzi za usichana ila hua hawakubali kua waliharibu,ukiwauliza hua wanashutumu na kusema yani wanaume hawa!!! Sitakuja kumuamini mwanaume tena maishani,hujakutana na wa hvyo???ndo hawa sasa
Kama wewe umekamilika ilikuwaje ukutane na watu wazima wakorofi? Jiangalie na kujitafakari. Hujui yaliyonikuta Mimi hivyo Tafadhali usinilinganishe.
 
Hahaha Asprin acha utani wako. Nimpate kwanza tutaamua.
Swali la mwisho la uzushi ambalo naona halipo kwenye vigezo na masharti yako..... ikatokea kwa mfano umempata right man maeneo ya huku kwetu Torabora. Utakuwa tayari kumfuata huko aliko au utamtaka afungashe virago vyake akufuate huko uliko? (Mwandiko wako unaonyesha kama uko Sudani ya kusini vile)

Baada ya kusema hayo, nakushauri kama kuna lolote ulilolifanyia mabadiliko uneenda kuedit kwenye post mama kwa kuwa si kila mtu hupitia posts zote.

Mi naomba uwe rafiki yangu wa katika shida na raha za kibaiolojia.... yani masuala flani hivi amazing...🙂🙂🙂 Napatikana PM pia LOL
 
Kauli tu unazozitumia zinanipa majibu ya wewe ni wa namna gani,any way safari njema
Bora umenielewa ili uondoke. Niko serious and I prefer serious discussions. Best of you.
 
Asante. Kwa umri huu musimamo au vigezo vitakuwa tofauti na mwenye miaka 20-30, 335-40, 45-50. Pia mwisho wa siku huwezi kupata 100% ila kuna btn 70-100%.
Nakubaliana umri na hata mazingira yana mchango katika misimamo ya mtu katika mahusiano. Ila principle kuu ya mahusiano (compromising personal interests to a certain degree to create harmony and collective interest) haibadiliki. Hata hivyo, huwezi kuvipata au kudilute misimamo yako yote. Kikubwa unahitaji kuonyesha upo wiling kusikiliza na kushauriana.
Hujatoa nafasi hii katika mwito wako. Kumbuka first appearance conveys the first impression.
 
Asante sana Mh. Invisible kwa kubadili ID yangu. Mungu akupe maisha tele.

Sasa ninatafuta pia avatar na nitabadili by kesho au leo baadaye. Wale mliokuwa mnatishika kwa jina msiogope tena.

Kwa sasa ninaitwa Loeli na lina maana kubwa sana kwangu.

Karibuni.
km hutojali kwann ulijiita lile jina la mwanzo lkn mamaangu?

all in all mi nakuombea kila la heri mana nimejaribu kukuweka kwnye mazingira km ndo mamaangu mm na kugundua every woman needs a man and vice versa.
 
Swali la mwisho la uzushi ambalo naona halipo kwenye vigezo na masharti yako..... ikatokea kwa mfano umempata right man maeneo ya huku kwetu Torabora. Utakuwa tayari kumfuata huko aliko au utamtaka afungashe virago vyake akufuate huko uliko? (Mwandiko wako unaonyesha kama uko Sudani ya kusini vile)

Baada ya kusema hayo, nakushauri kama kuna lolote ulilolifanyia mabadiliko uneenda kuedit kwenye post mama kwa kuwa si kila mtu hupitia posts zote.

Mi naomba uwe rafiki yangu wa katika shida na raha za kibaiolojia.... yani masuala flani hivi amazing...🙂🙂🙂 Napatikana PM pia LOL
Asante sana Asprin. Suala la relocation ngumu kwa sasa. Ukizingatia Ajira na mambo mengine. Ngoja ni edit niongeze au kuboresha vigezo.
 
km hutojali kwann ulijiita lile jina la mwanzo lkn mamaangu?

all in all mi nakuombea kila la heri mana nimejaribu kukuweka kwnye mazingira km ndo mamaangu mm na kugundua every woman needs a man and vice versa.
Asante. Jina la mwanzo halina maana sana. Just kuficha tu uwepo JF. Humu kuna ID za kufurahisha sana. Wewe ukipata muda zipitie tu.
 
Jamani shikmoo, Anti. samahn miaka 47, bado unabridi kweli? maana mi najua nyinyi huwa mnakoma miaka 45? na huwa hamsikii hamu ya kufanya tena? sasa wewe imeakuaje umefikas miaka 47? au mtu atakuja kuchezea dude bira hisia? naomba ufafanuzi wako anti ili nikuunganishe na baby yangu, ilaq ni mkulima wa jembe la mkono yupohi hapa mjini kwa umri huo utapata serengeti boys wanaume wa dar a kupenda kulelewa watakuchakaza, na kukubinua kama mkaa kimbadani mwishowe unauza mali zako na kuanza kuwaonga.mjoo kwa babu yangu mlime pamoja jembe la mkono.
 
Mungu atakusaidia utampata ila pia hakikisha nawe umepitia sababu zilizosababisha uachane na hao waliopita na uone kama na wewe una mapungufu yako ili uyarekebishe
 
Jamani shikmoo, Anti. samahn miaka 47, bado unabridi kweli? maana mi najua nyinyi huwa mnakoma miaka 45? na huwa hamsikii hamu ya kufanya tena? sasa wewe imeakuaje umefikas miaka 47? au mtu atakuja kuchezea dude bira hisia? naomba ufafanuzi wako anti ili nikuunganishe na baby yangu, ilaq ni mkulima wa jembe la mkono yupohi hapa mjini kwa umri huo utapata serengeti boys wanaume wa dar a kupenda kulelewa watakuchakaza, na kukubinua kama mkaa kimbadani mwishowe unauza mali zako na kuanza kuwaonga.mjoo kwa babu yangu mlime pamoja jembe la mkono.
Kukaa kimya ni busara sana....... ni ushauri tu.
 
Kama una mtoto wa kike ombea azae mtoto wa kiume uwe unamuita mume wako, miaka 47 ni ya kusubir wajukuu
Ni kweli. Subiri ya kukute au ufiwe na mke halafu usubiri wanao wakikuzalia wajukuu wa kike uwaite MKE. Au wakikuzalia wa kiume uwaute MUME. Kila la heri.
 
Mimi kuna rafiki yangu naweza kuwaunganisha au
Asante. Ukisoma post yangu nimetoa room ya kuunganisha pia. Nimeeleza kwa kirefu. Ili track utizame vigezo hone kama anavyo.
 
Kumpata mwanaume wa vigezo ulivoweka ni ngumu sana. Mwanaume wa aina hiyo anaonekana haraka sana na kuwahiwa na wanawake wenzako hata kama alifiwa na mkewe. Ukizingatia umri umeekukata kidogo huwezi pata unachokitafuta mama, cha msingi achana na mapenzi kuwa bize na watoto tafuta mtu mzima mwenye mke uwe mchepuko wake kwa siri mambo yataenda sio kutafuta mtu wa kummliki wewe.
NB. Kadri binadamu anavoongezeka umri kwa mwanamke thamani yake inaporomoka(deceleration) sana ila kwa mwanaume thamani inapanda(acceleration)
Asante. Ni bora niishi milele bila mwanaume kilojoule kuwa na mume wa MTU.
 
Mimi ni kijana umri miaka 25 sina kazi yoyote mision town! Yaani kula kulala siwazi saaana maisha ya hapo baaadae nawaza leo tu nitakula nini na nitalala wapi..... (same text missing)
Asante. Katafute mijimama inalea Mario's. Mimi situnzi Serengeti ila ninahitaji MTU anayetumia maisha kwa staha na kufanya Kazi. ID yako says it all.
 
Back
Top Bottom