Recent content by Dimple Jerry

  1. D

    wachumba zangu wana sura mbaya

    daa we mkali kila unayenpata sura mbaya,fuata nin moyo wako unahitaji na ufanye maamuz utakayoridhika nayo
  2. D

    Mke wa rafiki yangu aninipa wakat mgumu

    sasa wewe unaanza tena kumsifia yeye,achana na mke wa mtu
  3. D

    Tendwa: Kwa hili la Red Brigade, Nitaifuta CHADEMA!

    Aisee huyu mzee anatumia busara zipi hzo,aangalie maamuz yake yasije mgharimu
  4. D

    Live Updates: Uchaguzi wa Kata nne Arusha tarehe 14 July 2013

    hongera sana CDM kwa hatua mnazoonyesha
  5. D

    "Je,hii inawezekana?"

    huo ni urafiki tuu ila suala la kumuoa huwez jua kwa sasa,cha msingi soma kwa kwanza na baadae ndo utajua msimamo wake juu yako ila usimuweke kama mpenz wa kudumu maana mambo yakiharibika utaumia sana
  6. D

    Kumpenda mtu usiyemwamini!!!!!

    Hii kweli shughuli pevu kama unampenda mtu halaf humwamin,jaribu kuchunguza ni kitu gan kinakufanya usimwamin na ukishagundua basi tengeneza mazingira ya ww kumwamin.
  7. D

    *Anataka mambo ya pwani*

    hebu wanawake muwe mnafikiria mbali,leo unafanya hivyo unafika wakati unahitaji kujifungua inakuwa tabu na kwetu wanaume kufanya hivyo hakukufanyi kuwa mwanauume wa shoka na kutokufanya hakukupunguzii kitu.Hiki kweli ni kizazi cha nyoka ambapo watu wamekengeuka
  8. D

    Lengo la ziara ya Obama ni hili hapa

    Raisi wetu hajitambui kabisa anachowaza ni misaada tu na kujaza tumbo lake
  9. D

    Updates: Njia zitakazotumika na kufungwa wakati wa ziara ya Obama nchini

    Hapa ndo ujue kuwa hii nchi imekuwa ya kijinga pamoja na viongozi wake,ujio wa mtu mmoja unafanya shuguli za watu kusimama ambapo hakuna faida yoyote taifa linapata.Hakuna nchi iliyoendelea yenye lengo la kuisaidia nchi iendelee zaid ya kuiangamiza,yote kwa sababu watz wengi wametekwa kifikra...
  10. D

    Obama has ‘no vision, no future’ planned for Africa

    Neo-colonialism is already existing in tanzania its that most people dont see because our thoughts have been kidnapped.Obamas visit in tanzania is not of any importance instead its just to make us fools
  11. D

    Ujio wa Obama: Wenzetu wanauliza mambo ya msingi, sie tunajadili mawaziri watakaoshikana mkono

    mawazo ya kwamba nani atashikana mikono na obama ni ya kipuuzi,tuwaze vitu gani vya msingi tutamuuliza kwa manufaa ya taifa letu
  12. D

    Wasichana msimuige binti huyu

    Hii tabia ipo ila si wote wanaomaanisha kuna wengine wanafanya hivyo ili kuondokana na hali ya kusumbuliwa mara kwa mara
  13. D

    Membe: Msije Dar wakati wa ziara ya Obama

    huyu jamaa mpuuzi tuuuu
  14. D

    Katika Ulimwengu wa leo, mwanamke mzuri ni yupi?

    hahahahahaha kawaida tu mkuu
  15. D

    Anataka tufanye mapenzi kabla ya ndoa

    hahahahahahaha hii ni noma
Back
Top Bottom