Anataka tufanye mapenzi kabla ya ndoa

Anataka tufanye mapenzi kabla ya ndoa

dada, shida haipo. mimi nakushauri mpe tu, kwani atakula peke yake? mbona na wewe utafaidi. kama mnapendana mpeane. kumbuka ndege mjanja hunasa kwenye tundu bovu. utadengua leo, jamaa akibadili mawazo, humpati tena. utakapo mpata mwingine naye atahitaji kula tunda, kwa kuhofia kumkosa nae utampa, kumbe huyo ni mpita njia tu, anakula halafu anasepa.
 
Shikilia msimamo wako wa kutompa utamu. Mwambie utamu ausubiri baada ya ndoa tena kwa raha zenu.

Habari za mchana wandugu, kama mnakumbuka post yangu kuhusu kuanza mahusiano kwa mara ya kwanza, tunapendana sana ila tatizo anataka tufanye mapenz kabla ya ndoa, kila nkimshauri tusubirie mwakani baada ya ndoa yetu Mungu akipenda hanielewi, mi binafsi sipo tayari kwani naogopa maana sijawahi kufanya mapenz. Naomba ushauri wenu wana jf, maamuzi ninayochukua yapo sahihi?
 
habari za kuuziana mbuzi kwenye kiroba hizoo....
Mfano: wewe ni SHE na kweli jamaa akavumilia hadi ndoa..siku ya gemu ukagundua anabonge la mshededee/dushelele..akipiga kama anakubaka vile,.. je utadai akutaliki!!??
2# kama wewe ni HE na kweli akavumilia hadi ndoa.. Siku unamdinya ukagundua ameku''ovasaizi'' au papuchi inatoa smell kama panya kafa,.utamtaliki!!!??..
HEBU ACHENI HABARI ZA KUSADIKIKA..
N:B mi sijashauri kitu hapa..nimesena tuuu
...sent to jamiiforums, via neno langu sio sheria
 
.....mi nawashangaaga wanaonunua mbuzi kwenye gunia, mara unamfikisha nyumbani sio mbuzi.
unaezakuta hana, au analo oversize,au kaduchu sana, shida za ini sasa!!
Suala hili ni serious! Ndoa fulani zinadumu kwa sababu ya watoto au kuogopa aibu lakini kuna tabu kubwa kwa sababu ya kutotoshelezana katika sex. Wengine ndio wanaishia kucheat ili kukata kiu. Kwa hiyo masuala haya hayana majibu rahisi, unaweza kushauri wasubiri kumbe mmoja anataka amuingize mkenge mwenzake:shock:
 
uamuzi uliochukua ni mzuri but angalia sna asije akatoka nje kukidhi haja yake jambo ambalo litakuwa ni hatari katika uhusiano wenu!
 
kwahiyo ukishaingia kwenye ndoa uzoefu wa kufanya mapenzi utautoa wapi?
 
Habari za mchana wandugu, kama mnakumbuka post yangu kuhusu kuanza mahusiano kwa mara ya kwanza, tunapendana sana ila tatizo anataka tufanye mapenz kabla ya ndoa, kila nkimshauri tusubirie mwakani baada ya ndoa yetu Mungu akipenda hanielewi, mi binafsi sipo tayari kwani naogopa maana sijawahi kufanya mapenz. Naomba ushauri wenu wana jf, maamuzi ninayochukua yapo sahihi?
Mimi huwa siwaelewagi wasichana mabikra..kuna mmoja nilibahatishaga lakini akawa anazingua kutoa mzigo..nikashindwa kuvumilia ila kizuri alinipotezeaga yeye..then akarudi tena..akasepa tena..ila cha msingi bikra ndo ikawa inampa kiburi design akawa anajiona kama vile anapassport ya kuolewa na mtu yeyote nin full kunihubiria nin..kumbe akapataga jamaa mwenye chapaa kimtindo mchizi kapiga nae misele, mixa outings nyingi nin..daah mchizi baada ya kula mzigo akaamsha..bi dada sasa hivi full stress ingawa nampenda..kaja kuleta conversation piga chini kama kawa..point ya msingi..dada eeh..kwa kipindi hichi bikra si kitu muhimu..maana mwanaume anaweza hata kuoa ili mradi atoe hiyo kitu..baada ya hapo cha moto utakiona..hujawahi sikia watu wamebaidili dini baada ya ndoa wakarudia dini zao..?? bikra sio passport..!!!
 
Nakuuliza kwan we hapo ulipo bikra? Kam sio basi tanua mapaja watu kawae kati
 
Shikilia msimamo wako wa kutompa utamu. Mwambie utamu ausubiri baada ya ndoa tena kwa raha zenu.
kutokana na principle ya USE AND DISUSE THE MORE THE ORGAN IS FREQUENTLY USED THE MORE IT BECOMES EFFICIENT bora ampe tu
 
Habari za mchana wandugu, kama mnakumbuka post yangu kuhusu kuanza mahusiano kwa mara ya kwanza, tunapendana sana ila tatizo anataka tufanye mapenz kabla ya ndoa, kila nkimshauri tusubirie mwakani baada ya ndoa yetu Mungu akipenda hanielewi, mi binafsi sipo tayari kwani naogopa maana sijawahi kufanya mapenz. Naomba ushauri wenu wana jf, maamuzi ninayochukua yapo sahihi?
Haya ni mambo yenu binafsi, wewe na huyo mchumba wako. Mlipokutana mlitushirikisha? Hayatuhusu mambo yenu.
 
Habari za mchana wandugu, kama mnakumbuka post yangu kuhusu kuanza mahusiano kwa mara ya kwanza, tunapendana sana ila tatizo anataka tufanye mapenz kabla ya ndoa, kila nkimshauri tusubirie mwakani baada ya ndoa yetu Mungu akipenda hanielewi, mi binafsi sipo tayari kwani naogopa maana sijawahi kufanya mapenz. Naomba ushauri wenu wana jf, maamuzi ninayochukua yapo sahihi?

that was wayback to 1990's, kwa sasa no check-up no marriage!
 
hii ndo shida ya madada zetu,ukishamwambia utamuoa bac ataanza mbwembwe, oo mara usiwe na haraka mm ni wako tu, wakati pembeni masela wanaendeleza course work kama kawa.
Alafu wewe haumpendi mpnz wako, maana usingependa aumie eti kwa kukuomba mzgo.
 
Nasema,toa ushauri unaoendana nawakati. Ampe tunda nasio tunda tu ahakikishe imenasa kabisa . Midada mingine hainasi ,unajua kupanda mbegu kwenye mwamba. MIE NAPITA.
 
Back
Top Bottom