"Je,hii inawezekana?"

"Je,hii inawezekana?"

huo ni urafiki tuu ila suala la kumuoa huwez jua kwa sasa,cha msingi soma kwa kwanza na baadae ndo utajua msimamo wake juu yako ila usimuweke kama mpenz wa kudumu maana mambo yakiharibika utaumia sana
 
Acha upuuzi ujinga mtupu soma shule A-leval unaona we ni msomi?
 
Maswali mengine bhanaa...
Ipo siku utakuja hapa jamvini na kutuuliza lunch ule chakula gani au mtoko wa jumamosi uvae viwalo gani...
 
"Sawa,uchumba kama nijuavyo mimi"SIMPLY" ni Kipindi kilichopo kati ya mahusiano na ndoa.Pia ni kipindi ambacho wahusika wanapata muda wa kuchunguzana na kujuana tabia.

:confused2::nono::nono::nono::A S-confused1:
 
Mzee kwa uzoefu ....hapo katikati kuna mambo mengi yatapita sana kabla ya ninyi kufika hata kwenye uchumba so nenda tu na hali iliyopo sasa hivi...usipate stress sana kuhusu hayo mambo...stress zako elekeza kusoma.....pengine nikwambie tu mimi nimesoma kiasai LAKINI HAMNA KITU KIZURI DUNIANI KAMA KUSOMA.....HAKUNA......HAKUNA KITU KIZURI KAMA KUWA BINADAMU MSOMI...SO SOMA SANA MKUU MENGINE YANAJIPANGA YENYEWE

"Ahsante sana Dr.Kwa ushauri wako mzuri."
 
Girlfrend au mchumba?

Hivi stages za kuingia kwenye mahusiano had ndoa yako vip mleta uzi?

,"Ok,kwanza kabla ya yote lazima kupendana kwanza,next ni kuingia kwenye mahushano ambayo ndiyo yanayopelekea uchumba kutokea;Then baada ya kujuana tabia kwa muda ndipo mnatambulishana kwa wazazi pamoja na maandalizi kwa ajili ya kuingia kwenye ndoa.Mimi najua ivyo tu ndugu yangu,cjui ww.
 
Back
Top Bottom