Dimple Jerry
Senior Member
- Dec 18, 2012
- 118
- 11
huo ni urafiki tuu ila suala la kumuoa huwez jua kwa sasa,cha msingi soma kwa kwanza na baadae ndo utajua msimamo wake juu yako ila usimuweke kama mpenz wa kudumu maana mambo yakiharibika utaumia sana