Mwasi
JF-Expert Member
- Feb 12, 2010
- 246
- 87
Nakubaliana na wewe kabisaaaa...huwezi kupenda pasipo kumwamini mtu na upendo ni zao la imani. Nisipomwamini hakuna jinsi naweza kumpenda...nitakuwa nadanganya tu wakati simanishi
Huwezi kupenda pasipo kumwamini umpendaye...upendo wenyewe tu kwa lugha nyingine ni matokeo ya imani...