Mshana Jr kuna siku ulisema kabla ya kulala ukitafuna punje kadhaa za kitunguu saumu na ukaweka limao chini ya MTO kuwa vutafunuliwa vitu vingi vilivyofichika. Je; unaweza kuvi list.
Kuna kituo cha watoto yatima ambacho huwa kinatoa usalama wa taifa wengi(msije pm kuniuliza kuhusu hiki kituo maana sitawajibu) wale watoto wanakua well trained na mafunzo mbalimbali ya kiusalama kuanzia wakiwa wadogo sana hii hupelekea kuwa expatriates katika nyanja hiyo. Mfano mzuri wa jambo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.