Recent content by dimaria

  1. D

    Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

    Benji nzuri ni FNB kama alivyosema Ontario hapo mwanzo.
  2. D

    Kwenu wadada

    Somo zuri sana. Nakupa pongezi kwa kutupa elimu hii both men and women. Thank you.
  3. D

    Mimi najutia kwa orodha hii ya wapenzi, wewe je?

    14 ni idadi ndogo sana mkuu.
  4. D

    Nataka kumrudia msichana wangu

    ni PM namba zake niwe msuluhishi wa huu mgogoro wenu.
  5. D

    Mnawakumbuka watuma salamu maarufu redioni wa enzi hizo? Tujikumbushe kwa kuwataja...

    Lawena nsonda, john nzenze, chesco mzee wa matunda, muhiri obare.
  6. D

    Kwa wanawake mnaotafuta mabwana humu na ambao hamjapata

    Hahhahaha mkuu umeongea ki Don sana. Umenikumbusha mbaliiiiiiii sana.
  7. D

    The Interview: mshana Jr.

    Mshana Jr kuna siku ulisema kabla ya kulala ukitafuna punje kadhaa za kitunguu saumu na ukaweka limao chini ya MTO kuwa vutafunuliwa vitu vingi vilivyofichika. Je; unaweza kuvi list.
  8. D

    The Interview: mshana Jr.

    Mshana Jr ni uchawi wa aina gani ambao wanatumia hao wazungu kuwashinda waafrika hususani wale wanaotafuta Vito vilivyofukiwa enzi za ukoloni
  9. D

    Naomba feedback kwa mliotumia haya mafuta ya parachute

    Mkuu hay mkuu hayo ya upande wa kulia ni fake.
  10. D

    Are spies made or born?

    Kuna kituo cha watoto yatima ambacho huwa kinatoa usalama wa taifa wengi(msije pm kuniuliza kuhusu hiki kituo maana sitawajibu) wale watoto wanakua well trained na mafunzo mbalimbali ya kiusalama kuanzia wakiwa wadogo sana hii hupelekea kuwa expatriates katika nyanja hiyo. Mfano mzuri wa jambo...
Back
Top Bottom