Recent content by dijly4

  1. dijly4

    Mwanamke: Vitu ambavyo vinaweza kumfanya mwanaume asikuone una mvuto pamoja na uzuri wako...

    ukiona anayerudisha mashambulizi ujue limemgusa mno, haswaaaaaaaaaa. mada ya wanaume inakuja tu subiri kidogo:cheer2:
  2. dijly4

    Kanisa katoliki mmekubali kujichafua na pesa za Lowassa?

    Kila asemaye asilokuwa na hakika nalo anatenda dhambi ya mauti na inampasa akatubu. wewe unayemsema EL, je una hakika ya maneno yako? na www unayelisema kanisa una hakika ya hayo?
  3. dijly4

    Jamani hii ndiyo tuseme ni kafara la siasa Tanzania au?

    Unajua mwenzenu nashindwa kabisa kuielewa serikali yangu iliyo madarakani kwani majanga makubwa yanayoyoonekana machoni pa viongozi kuwa ni madogo yanautesa sana moyo wangu. Mabomu ya mbagala mabomu ya gongo la mboto mauaji ya vurugu za arusha mafuriko leo hii tunasikia wenzetu wanakufa ktk...
  4. dijly4

    Uvimbe ukeni

    how dare you can spit this here, while you can immediately seek doctors advice at any nearby health institute.
  5. dijly4

    Hivi ni kipi sahii; kusema ukweli au kusema uongo katika mausiano?

    worse enough mwenye duka na aliyekuwa anauza ni dada yangu na pia huyo mchumba wangu nilishamtambulisha kwa huyo dada yangu
  6. dijly4

    Hivi ni kipi sahii; kusema ukweli au kusema uongo katika mausiano?

    sio watu wote tuna uwezo wa kucheza mipira miwili kwa wakti mmoja, mmoja lazima utadondoka au yote miwili. asante kwa ushauri wako ila nikupe white and black kwangu haunifai
  7. dijly4

    Siungi mkono mgomo wa madaktari...

    sasa wewe unajua ni ya nani? Kuanzishwa na kanisa haimaanishi si ya serikali ndugu yangu.
  8. dijly4

    Umaskin na kupenda kwangu kumenifanya nikubaliane nae kwa kila alisemalo!!

    Sijui nikusaidieje ndugu yangu, ila nikuulize ni kitu gani ambacho umekipenda kwake na unahisi huwezi kukipata kwa mwingine ktk maisha yako yote? Kiufupi hapo unajichimbia kaburi mwenyewe, remember hiv chain of infection!!!!!!!!!!!!!!!!
  9. dijly4

    Hivi ni kipi sahii; kusema ukweli au kusema uongo katika mausiano?

    si unajua tena wanadada walivyo, huenda pale offisini wakadhani kuwa nina maringo sana, kwani yule si wa kwanza unifanyia hivyo vitimbi
  10. dijly4

    Hivi ni kipi sahii; kusema ukweli au kusema uongo katika mausiano?

    But hii haiwezi kuwa ni chanzo cha kugombana na wafanyakazi wenzangu?
  11. dijly4

    matokeo ya form 4 kutangazwa leo saa 10 jioni na naibu wazili wizarani

    Ukikosa thread ya maana bora ukakeep your mouth shut up!!!!!!!!!!!!
  12. dijly4

    Hivi ni kipi sahii; kusema ukweli au kusema uongo katika mausiano?

    Hivi majuzi tu nilitoke kukutana na msichana mmoja ktk eneo langu la kazi, ktk kushare some ideas nikagundua huyu mdada alitokea kunipenda/kunitamani. 1day tukiwa duka la jirani na offiisini huyu mdada aliagiza nguo ya ndani toka pale dukani then akataka nimlipie, kwa kuwa niliona ni kama...
  13. dijly4

    Wana-jf nimefiwa na mke wangu!!

    pole sana ndugu yetu!
  14. dijly4

    Jinsi gani ya kuchanganya chakula cha mtoto?

    Mhh! mie simo mwaka huu, labda miaka mitatu nitakuwa na ufahamu juu ya hili wadau
Back
Top Bottom