dijly4
Member
- Sep 11, 2011
- 26
- 9
Unajua mwenzenu nashindwa kabisa kuielewa serikali yangu iliyo madarakani kwani majanga makubwa yanayoyoonekana machoni pa viongozi kuwa ni madogo yanautesa sana moyo wangu.
Mabomu ya mbagala
mabomu ya gongo la mboto
mauaji ya vurugu za arusha
mafuriko
leo hii tunasikia wenzetu wanakufa ktk hospitali mbalimbali za umma, pia ni janga kubwa mno
kinachoniuma ni hiki
serikali inavyochukulia jambo lenyewe, kwa kuwaficha wananchi taarifa sahihi kuhusu kinachoendelea huko mahospitalini kwa kudanganya kuwa huduma zinaendelea
bungeni spika anakuwa mbogo kwa kuambiwa kuwa jambo hilo ni la dharura
mie nadhani hili linaweza kwa ndilo kafara la chama tawala ili kiendelee kbaki madarakani
inasikitisha jamaniii!!!!!!!!!!!!!!!!!1
Mabomu ya mbagala
mabomu ya gongo la mboto
mauaji ya vurugu za arusha
mafuriko
leo hii tunasikia wenzetu wanakufa ktk hospitali mbalimbali za umma, pia ni janga kubwa mno
kinachoniuma ni hiki
serikali inavyochukulia jambo lenyewe, kwa kuwaficha wananchi taarifa sahihi kuhusu kinachoendelea huko mahospitalini kwa kudanganya kuwa huduma zinaendelea
bungeni spika anakuwa mbogo kwa kuambiwa kuwa jambo hilo ni la dharura
mie nadhani hili linaweza kwa ndilo kafara la chama tawala ili kiendelee kbaki madarakani
inasikitisha jamaniii!!!!!!!!!!!!!!!!!1