Recent content by Digleby

  1. D

    Je, umewahi kughairi mechi ya kula/ kuliwa tunda? Ilikuwaje?

    Wala Siyo Muhuni, Demu Asaivi Kuna Mshikaji kazaa Naye Mshikaji Anataka Aoe
  2. D

    Je, umewahi kughairi mechi ya kula/ kuliwa tunda? Ilikuwaje?

    Nakumbuka kipindi hicho Niko Mwaka wa Mwisho Chuo,Sasa Kuna Demu Ameanza Mwaka wa kwanza Basi nikamtokea Demu, baada ya Muda Yule Demu Akakubali Nikawa Niko Naye kwenye Mahusiano. Demu Akatokea kunipenda kweli yaaani, Nakati Mimi Sikuwa Na Mapenzi ya dhat kwake nilitaka nipige nisepe. yule Demu...
  3. D

    Faidika na darasa la FaizaFoxy; Uliza chochote utajibiwa

    Heshima yako Madam, Mimi ningependa kujua ni kwa namna Gani Mgogoro Kati ya Palestine Na Israel Ungeweza kutatuliwa, kwa Sababu tunaona Watoto wadogo Na Wanawake wanazidi kufa kila Siku Na hawana hatia,
  4. D

    JamiiForums Usiku wa manane

    00:13
  5. D

    Nina gundu, wanaume hawanitongozi

    Karibu pm nikutoe upweke
  6. D

    Wanaume wabaya sana

    Pole Sana ndiyo Mapenzi yalivyo yatapita
  7. D

    Hodo hodi wanajamvi waungwana

    Karibu Sana Mkuu
  8. D

    Shilole athibitisha kupigwa na Uchebe, asema kuanzia leo yeye siyo mke wa Uchebe

    Aisee! Mungu hulipa hapa hapa Duniani, Alimpiga Sana Nuh Kwaiyo Zamu yake hiyo hahahah
  9. D

    Uzi maalum wa kupeana Likes: Comment chochote upate "Like"

    Mungu ibariki Tanzania :D
  10. D

    Ushauri, Maoni na Msaada: Kwa wanaotaka kujilipua nje ya nchi kusaka maisha, kusoma na kuwekeza

    Mkuu uzi uko vizuri sana, na mimi nahtaji kuwa host wa mgeni ata mmoja. swala la lugha siyo tatizo kwangu itapendeza sana nikipata hii nafasi.
Back
Top Bottom