Recent content by Diannna

  1. Diannna

    Msaada: Kwa waliowahi kufunga ndoa ya Serikali

    Nenda Na mwenzi wako Ofisi ya Mkuu wa wilaya ambayo mnategemea kufunga ndoa yenu mkifika pale mtapewa maelekezo yote Na msajiri wa ndoa.
  2. Diannna

    Hivi ni sahihi kwa mwanamke wa kikristo kuolewa mara mbili pasipo mumewe kufariki?

    Kama taraka imetolewa anaweza kufunga tena ndoa ya kiserikali (Bomani)
  3. Diannna

    Nimechoshwa na tabia zake huyu kaka

    Pole sana kwa changamoto za mahusiano, Fanya uchaguzi kwanza kabla ya kuchukua maamuz ya kuachana Na huyu mtu wako, uctumie hasira, hasira hasara utaachana Na wangapi?
  4. Diannna

    Huyu mwanaume ananichanganya sana

    Labda ana familia tayar nyingine, sasa mshahara wote huwo anakula Peke yake mchunguze mmmh, to cyo Kwa uchoyo huwo, hapo ndoa hamna posa na mahali ataweza kweli kutoa maana bahili sana,
  5. Diannna

    Nifanyeje maji yatoke sikioni?

    Pole ruka ruka haraf inamisha pemben ckio lenye maji yatatoka yote.
  6. Diannna

    Jina la mtoto wa kike linaloanza na herufi "G"

    Graveline, Girlymuwanji Sent using Jamii Forums mobile app
  7. Diannna

    Je, Mjamzito kupata hedhi kuna tatizo?

    Niliwah kuckia hii ki2 kumbe ni kwel, Sent using Jamii Forums mobile app
  8. Diannna

    Mapenzi ya ajabu kweli

    Ni shidaaa!!! Hahaha.
  9. Diannna

    Urinary Tract Infection (UTI): Chanzo, Dalili na Kinga/Tiba yake

    Kama una mpenzi inatikiwa mpate tiba wote wawili, inawezekana hizo dawa ulizowahi kutumia zimekuponya ila unapata maambukizo mapya mfano kutoka kwa mp.
  10. Diannna

    ANGALIZO: Mapicha ya Ushoga kuweni nayo makini(Adobe photo shop)

    Hadi mtu anaanze kujitetea ni picha ya kutengeneza tayar unakuwa umeshadhalilika, unaweza hata ukafa kwa pressure.
  11. Diannna

    Nitakuchukia for the rest of my life

    Shukuru Mungu kwa kila jambo huwez juu kitu gani? Umeepushiwa, msamehe bure Omba Mungu na wewe pia utapata wako kwa imani, Pole sana kaka.
  12. Diannna

    Ushauri: Nimemtia mke wa mtu mimba

    Mbona hapa hukuna shida yoyote, c mnapendana bwana kaa tu pamoja mlee mtoto wenu, Hongera sana.
Back
Top Bottom