Pole sana kwa changamoto za mahusiano, Fanya uchaguzi kwanza kabla ya kuchukua maamuz ya kuachana Na huyu mtu wako, uctumie hasira, hasira hasara utaachana Na wangapi?
Labda ana familia tayar nyingine, sasa mshahara wote huwo anakula Peke yake mchunguze mmmh, to cyo Kwa uchoyo huwo, hapo ndoa hamna posa na mahali ataweza kweli kutoa maana bahili sana,
Kama una mpenzi inatikiwa mpate tiba wote wawili, inawezekana hizo dawa ulizowahi kutumia zimekuponya ila unapata maambukizo mapya mfano kutoka kwa mp.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.