Pole sana Mganga,,,nimecheka na ikabidi nisinyamaze..Asilimia kubwa ya watu wameshaumizwa kwa kupenda pasipo sahihi na kumdharau mwenye mapenzi ya dhati,,na ndio Maana hufika Kipindi mtu husema nitaoa/ kuolewa na yoyote atakaejitokeza maskini,,mbaya,,mchawi au mkorofi au kibabu,,,,lakini jipe moyo na ujue ATAFUTAE ataona.Tafuta na usiache kutafuta..unaweza kuja kukutana nae hata usipopategemea.ila jiweke kwenye mode ya kutafuta.Moyo wangu umebaki kusukuma damu tu!
Kupenda nimeshasahau miaka saba iliyopita!!
Hiyo ipo sanaMbona uwa inatokea sana unakuta mtu kuna mtu anakupenda but we ata hisia nae ni nei jadunga
Ulipatwa na mkasa gani mkuuMoyo wangu umebaki kusukuma damu tu!
Kupenda nimeshasahau miaka saba iliyopita!!
joanah, yamewahi kukukuta ?Hiyo ipo sana
Mi nilikuwa nasemea kumpenda mtu alafu ye hana habari na mimi
Yeye ananenepa, wewe unakonda kwa mawazo juu yake. Tupa kule!Mimi niliwahi kumpenda hasiyenipenda baada ya kuhangaika naye sana. Nikaamua ku give up.
OK nimekupata but mi hii ya kupendwa ndo uwa inanitokea sanaHiyo ipo sana
Mi nilikuwa nasemea kumpenda mtu alafu ye hana habari na mimi
Dawa yake nini , Paprika ?Inaboa kweli ikitokea hivyo...
Kukubali kishindwa na kuendelea na anaekupenda...Dawa yake nini , Paprika ?
Wat if hujampata anayekupenda ??Kukubali kishindwa na kuendelea na anaekupenda...
Basi haupo kwenye hiyo chain!!!Wat if hujampata anayekupenda ??
Pole sanaAnyway, I am experiencing that situation recently.
Nikupende? Mapenzi yangekua kama unaagiza pipi dukani basi dunia ingekua na afadhali kidogoAsanteee sana
nipende bas![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Itabid tufike huko au kuwe na FWB tu basiNikupende? Mapenzi yangekua kama unaagiza pipi dukani basi dunia ingekua na afadhali kidogo