agata edward
JF-Expert Member
- Nov 25, 2014
- 6,641
- 9,412
Hahahahaha.
hiyo ndoa itakuwa haina tofauti na ndoa ya mkeka.
ila kwa kuwa wawili tumependana itabid twende tu![]()
Hahahahaha.
hiyo ndoa itakuwa haina tofauti na ndoa ya mkeka.
ila kwa kuwa wawili tumependana itabid twende tu![]()
Hii ni kuhalalisha,watu waishi kwa aman tu
hiyo ndoa itakuwa haina tofauti na ndoa ya mkeka.
ila kwa kuwa wawili tumependana itabid twende tu![]()
Watu wa hzi ndoa huwa hawavai pete mara nyingiHii ni kuhalalisha,watu waishi kwa aman tu
Hahaha, janja janja tu ,hivi hizi mnabariki ndoa kweli?Watu wa hzi ndoa huwa hawavai pete mara nyingi
Hizi znatumika mara nyingi kutafuta uhamisho kwa wafanyakaz wa umma.Hahaha, janja janja tu ,hivi hizi mnabariki ndoa kweli?
Anayefungisha: Msajili wa NdoaHabari za jioni wakuu, awali natoa pole kwa pilika za kutwa kwa ujumla wake.
Kama mada inavyojieleza hapo juu.
Naomba kufahamishwa kuhusu vigezo na masharti ya kufunga ndoa ya kiserikali.
Zaidi ya yote naomba kujua nani anaifungisha ndoa hizo na ni wapi then unahitaji nini ili uweze kufunga ndoa hiyo.
Natanguliza shukrani
Siyo mtaa..wanataka barua kutoka ofisi ya Kata.Ok katika hizo form mtahitaji muende na barua za utambulisho zenye picha zenu toka serikali za mtaa..yaani wewe na mkeo/mmeo tarajari.
Ndoa zote ni za serekari mchungaji au shehe wanapewa dhamana ya kuiwakilisha serekari kwenye Ndoa hizo mkuuMkuu kwanza tafuta barua za kukutambulisha kutoka serikali za mtaa. Barua iwe na picha yako na ya mwenza wako. Majina yenu halisi ni muhimu. Gharama inategemea haraka yako . Kama unataka tangazo lifanywe Mara 3 basi gharama ni 50000 ( hii nadhani inaweza kupanda au kushuka kutokana na wilaya au thamani ya shilingi sins uhakika). Kisha unapeleka halmashauri huko utaambiwa nani ni muhusika. Siku ya ndoa utatakiwa kuwa na mashahidi ( wewe moja na mkeo moja).
Ndoa ya serikalini ni rahisi na husaidia sana hasa kwenye bima kama moja wenu kaajiriwa na mwingine hana ajira. Au kama mkeo Ana ujauzito bima inaokoa sana
Ndio janja janja yenyeweHizi znatumika mara nyingi kutafuta uhamisho kwa wafanyakaz wa umma.
SijuiNdio janja janja yenyewe
Tena mkiamua mnabeba mtu yeyote yule mtaani kwenu na sio lazima iwe public, unaambiwa ukitaka ndoa ya haraka unalipia 100,000/= tu ndoa inafungishwa baada ya kulipa.Hii ya serikali ntafunga kumbe ni simple tu
Mchungaji au shehe anafungisha ndoa kwa niaba ya serikali, na anae toa cheti cha ndoa ni serikali yenyewe.Kumbe hizi nazo matangazo mpaka siku 21 kama kanisani? Mi nikajua unalipia 50000 then unafunga ndoa!
Hii nzuriTena mkiamua mnabeba mtu yeyote yule mtaani kwenu na sio lazima iwe public, unaambiwa ukitaka ndoa ya haraka unalipia 100,000/= tu ndoa inafungishwa baada ya kulipa.
Mkuu Mtui kwenye process ya kufunga hii ndoa ya bomani, kuna kuvishana pete?Anayefungisha: Msajili wa Ndoa
Masharti:
1. Asiwe ndugu yako,
2. Asiwe mke wa mtu,
3. Isiwe ndoa ya mkataba, au ya muda mfupi
4. Asiwe mtoto. Kama unamke lazima ajulishwe na atasign kwenye mkataba wenu wa ndoa
5. Ndoa itatangazwa kwa siku 21
6. Ni lazima uwe na wasimamizi wakati wa ndoa
Wengine waongeze..