Bonny
JF-Expert Member
- Feb 21, 2013
- 13,370
- 29,990
gahwa na haka kamvua basi inashuka bila shidasaundi, uongo?
gahwa na haka kamvua basi inashuka bila shidasaundi, uongo?
Hakuna tatizo mkuu nunua hata ya baby care yatakufanya usisikie maumivu wakati wanakuchambarige.Umenifanya nicheke mkuu, atafanyajeeeee hahaaaaaaa
Wameshazoea zile hadithi za sungura na fisi... wanadhani hapa JF sote ni watoto wenzaoVery true! Kwanza ana uhakika gani kuwa mimba ni yake??!!
KWA NINI ATOE N AKWA NINI UKANE...ACHA UBOYA MIMBA YAKO ALEE TU NA HUNA KUKWEPA HATA KAMA UN AFAMILIA.....Habari JF,
Naombeni ushauri jamani, hapa nilipo nimempa mke wa mtu mimba, na mimi mwenyewe ninafamilia yangu.
Amesema nikiikana atakuja kwangu aishi, sasa hapa nashindwa nifanyeje, nimemwambia atoe hataki.
Naombeni ushauri jamani.
Ahsateni.
Hili nalo ni suala la msingi..na mpaka azae huyo mwanamke lazima ujute...andaa pesa za matumizi ya kika mwezUmejuaje kama yako?
Usije kuwa chanzo cha mapato
Ndo tabia yako eeehmwambie ambambikizie mumewe
Thread kama hizi zimezidi hapa JF. Jitu linajichapia huko, halafu mimba ikishika linakuja hapa kuomba ushauri, mbona hamwombi kabla ya game?
Siyo yangu mkuu hiyo .. wanataka kuua kiumbe bora asingiziwe mtu aleeNdo tabia yako eeeh
kumbe wengine ni mababu na mabibiWameshazoea zile hadithi za sungura na fisi... wanadhani hapa JF sote ni watoto wenzao