I appreciate Dr kitila he is brilliant man, tanzania kuwa na demokrasia iliyokomaa inahitaji viongozi wenye maslahi yenye kukidhi maendeleo ya nchi na wananchi kwa ujumla na sio kuchumia matumbo yao binafsi
Afu unaonekana sio mtz ww,jk ajaingilia mgogoro wa drc na rwanda yy alitoa ushauri tu sasa sijui ww umeng'ang'ana vp na huo uzi wako,ww na pk wote wagonjwa wa damu
Unaonekana unamatatizo katika kufikiri jkt ina maslahi sana kwa vijana wetu hususani kujenga uzalendo unaoelekea kupotea siku za usoni ..goma wewe na ndugu zako ili uwe wa mfano
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.