[TABLE="width: 636"]
[TR]
[TD="class: xl67, width: 54, bgcolor: transparent"]Mwanzo[/TD]
[TD="class: xl65, width: 28, bgcolor: transparent"]3[/TD]
[TD="class: xl65, width: 28, bgcolor: transparent"]14[/TD]
[TD="class: xl66, width: 737, bgcolor: transparent"]Bwana Mungu akamwambia nyoka, Kwa sababu umeyafanya hayo, umelaaniwa wewe kuliko wanyama wote, na kuliko hayawani wote walioko mwituni; kwa tumbo utakwenda, na mavumbi utakula siku zote za maisha yako; [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: xl67, bgcolor: transparent"]Mwanzo[/TD]
[TD="class: xl65, bgcolor: transparent"]3[/TD]
[TD="class: xl65, bgcolor: transparent"]15[/TD]
[TD="class: xl66, width: 737, bgcolor: transparent"]nami nitaweka uadui kati yako na huyo mwanamke, na kati ya uzao wako na uzao wake; huo utakuponda kichwa, na wewe utamponda kisigino. [/TD]
[/TR]
[/TABLE]