Mita ngapi za kitambaa zilitumika???

Mita ngapi za kitambaa zilitumika???

Tyta

JF-Expert Member
Joined
May 21, 2011
Posts
12,767
Reaction score
10,539
KWA UMBO LANGU DOGO..NINGESHONA SURUALI SITA...UNADHANI MITA NGAPI HIZI ZILITUMIKA???
1796584_516666678443651_621653214_n.jpg
1560381_507527012690951_1844841491_n.jpg
1453321_466892936754359_768408456_n.jpg
480364_308299165947071_1712670548_n.jpg
 
Huyu sio Ntuzu kweli akifuatilia deal lake la kuuza tyre hapo kariakoo
 
Last edited by a moderator:
Umenikumbusha miaka ya 70 kuna mtu alienda kwenye duka la kijana wangu kwa lengo la ushonewa suruali ili akagombee nayo ubunge kule kwao. Walishindana bei na kijana wangu baada ya mteja wake huyo kudai anataka upana wa miguu ya suruali, uruhusu ateembee hatua mbili ndipo suruali ianze kusogea.

Nilicheka sana hasa baada ya kijana wangu kujibu, "samahani suruali za aina hii ya kwako, hatushoni hapa".
 
Watu wenye mbwembwe kwenye uvaaji kama hivyo huwa wanakuwa na tantalila sana...

Hakawii kukushika masikio na kukuingiza mjini dakika sifuri, na wengi huwa hawalali njaa...
 
Huyu namjuwa anaitwa CHURA yupo pale mwenge
 
Back
Top Bottom