"changes are inevitable" whether they agree or not! we are ready to be killed bt time is coming they will regret, it does not matter wether their brains are working or not! let's unite forever we will win!
hapo Mh.Zitto kanena wabunge tuunge mkono jaman hii ni nchi yetu sote je mtafurahi siku moja mkiona watoto wa walalahoi tunafuata rasilimali zetu mnazoiba majumbani kwenu!
kweli tutafika maana tulichagua sura sasa tutacheza ngoma mpaka tuipate mpka afike 2015 atakuwa ametembea nusu dunia maana hata akialikwa birthday ataenda!
ni kweli wakubwa kwa yeyote mwenye uwezo wa kufikilia na kuchambua maigizo ya ccm dhidi ya wananchi wake hawezi kuipa kula sisi huku mwanza bana raha tupu huku Wenje huku Kiwia hakunaga hata wakija kwa mapanga na malungu CDM daima. ni baadhi ya maeneo Tz bado wameshindwa kufikiria hatima yao na...
siku zote njia ya muongo ni fupi na ni dhahiri kwa hali hiyo watashindwa na Kamanda Lisu ataendelea kusimama imara MUNGU IBARIKI TZ.MUNGU IBARIKI CDM na Pia isamehe Sisiem.we are at the point where no one can hold us from going on forward.Piiiiiiiiiipoooooosssssss together we will!
kweli Luteni umenena kama mhimili tuliouamini umetuangusha hatuna aja ya kurudi huko ni walewale tu Lema wetu zunguka nchi kumwaga sumu na kuongeza na kuimalisha matawi tayari kwa 2015 tuangalie mtu makini asimame tutashinda mapambano haya yaliyoanza .kwa upande mwingne naona nuru mbele yetu...
CCM have set aside waiting for the supu while there is an empty port on the fire!Nape soma alama za nyakati kama kukimbia huko jiandae najua ulichosema kinatofautiana na kilicho moyoni mwako kip it time will tell! Arusha do't let the evils take back the City kumtoa LEMA mmempa nguvu na wakati...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.