EasyFit
JF-Expert Member
- Jul 4, 2011
- 1,269
- 1,082
Siku mwenye ngome mwenyewe atakapo hama ndipo utabaki mdomo wazi.Ngome ya Lowassa iko Monduli si rahisi kiasi hicho
Siku mwenye ngome mwenyewe atakapo hama ndipo utabaki mdomo wazi.Ngome ya Lowassa iko Monduli si rahisi kiasi hicho
Mtuletee hapa waliotangaza press ....mtu kama huyo anaweza kesho akasema bado niko CCM itakuwaje?
Diwani wa Monduli na M/kiti wa Uvccm Monduli Julius Kalanga ametangaza rasmi kumfuata rafiki yake Nillya Chadema. Kwenye FB yake aliulizwa na mtu fulani kama atamfuata rafiki yake Millya Chadema au la yeye akajibu, siwezi kumwacha rafiki yangu aende mwenyewe huko. Itakuwa pigo jingine kubwa kwa CCM kwani jamaa ni kichwa yaani jembe la nguvu na ana ufuasi mkubwa sana Monduli. Yeye atachukua Monduli, Millya Sumanjiro, jamani Rahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa!
Sweetheart Kupeng'e I mean Dr. kupeng'e, huu upepo ni mkali sana,Hacha uongoleta ushahidi
Mtuletee hapa waliotangaza press ....mtu kama huyo anaweza kesho akasema bado niko CCM itakuwaje?
Asijekuwa mpima upepo. Kwa uovu tunaofanyiwa na CCM, nashindwa kuamini kuwa huko kunawezakuwa na mtu wa kuitwa kichwa au jembe. Huwezi kumtumikia shetani ukajiita mchaMungu.Diwani wa Monduli na M/kiti wa Uvccm Monduli Julius Kalanga ametangaza rasmi kumfuata rafiki yake Nillya Chadema. Kwenye FB yake aliulizwa na mtu fulani kama atamfuata rafiki yake Millya Chadema au la yeye akajibu, siwezi kumwacha rafiki yangu aende mwenyewe huko. Itakuwa pigo jingine kubwa kwa CCM kwani jamaa ni kichwa yaani jembe la nguvu na ana ufuasi mkubwa sana Monduli. Yeye atachukua Monduli, Millya Sumanjiro, jamani Rahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa!
Kuna bwana mmoja ametoa hoja nzito Tz Daima( M/kiti wa chadema Arusha) kwamba tatizo la rushwa ni mfumo wa CCM si watu binafsi. Ukiuvunja mfumo hata Edward Lowassa anaweza kufanya maajabu. Ni sawa na Arsenal haichukui ubingwa lakini haina maana kuwa haina wachezaji wazuri, tatizo ni mfumo na uongozi wao. Lowassa akija Chadema utampendaAsijekuwa mpima upepo. Kwa uovu tunaofanyiwa na CCM, nashindwa kuamini kuwa huko kunawezakuwa na mtu wa kuitwa kichwa au jembe. Huwezi kumtumikia shetani ukajiita mchaMungu.
Ina maanisha nini kuwa bado hajavua gamba kuja huku au ana mpango huo siku zijazo?Diwani wa Monduli na M/kiti wa Uvccm Monduli Julius Kalanga ametangaza rasmi kumfuata rafiki yake Nillya Chadema. Kwenye FB yake aliulizwa na mtu fulani kama atamfuata rafiki yake Millya Chadema au la yeye akajibu, siwezi kumwacha rafiki yangu aende mwenyewe huko. Itakuwa pigo jingine kubwa kwa CCM kwani jamaa ni kichwa yaani jembe la nguvu na ana ufuasi mkubwa sana Monduli. Yeye atachukua Monduli, Millya Sumanjiro, jamani Rahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa!
Diwani wa Monduli na M/kiti wa Uvccm Monduli Julius Kalanga ametangaza rasmi kumfuata rafiki yake Nillya Chadema. Kwenye FB yake aliulizwa na mtu fulani kama atamfuata rafiki yake Millya Chadema au la yeye akajibu, siwezi kumwacha rafiki yangu aende mwenyewe huko. Itakuwa pigo jingine kubwa kwa CCM kwani jamaa ni kichwa yaani jembe la nguvu na ana ufuasi mkubwa sana Monduli. Yeye atachukua Monduli, Millya Sumanjiro, jamani Rahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa!
Not Lowasa the beast I know!Kuna bwana mmoja ametoa hoja nzito Tz Daima( M/kiti wa chadema Arusha) kwamba tatizo la rushwa ni mfumo wa CCM si watu binafsi. Ukiuvunja mfumo hata Edward Lowassa anaweza kufanya maajabu. Ni sawa na Arsenal haichukui ubingwa lakini haina maana kuwa haina wachezaji wazuri, tatizo ni mfumo na uongozi wao. Lowassa akija Chadema utampenda