Salam!
Huduma ya kupata TOKEN za maji uliyonunua kwa njia ya mtandao ni shida.
Unanunua maji ni kama una bet, inaweza usipate sms ya token, na ikirudi huchukuwa masaa.
Kupiga huduma kwa wateja simu yako mpaka ipokelewe ni sawa na ku-bet nako.
Hela imeenda, unahitaji maji hupati, unawapigia...
Fikiria plan B, ipange plan B vizuri...songa mbele kwa mtanguliza Mungu. Kuna watu hawana ata hicho cheti chako cha Degree...fikiria kutumia talanta alizokupa Mungu. Mwombe Mungu sana.
Mwanaume mwenzangu pole na changamoto, utavuka tu...zaidi ya yote umekuwa wazi kueleza hapa naamini bado kama wanaume tunaweza mtoa mwenzetu sehemu alipo. Nakutia moyo simama imara na hili litapita.
Kupata Uhamisho
1. Mamlaka za Uhamisho
Kwa mujibu wa Sheria ya Utumishi wa Umma Na 8. ya mwaka 2002 ikisomwa na Kanuni zake pamoja na Taratibu za Uendeshaji za mwaka 2003 Mamlaka ya Uhamisho kwa watumishi wote wa Umma ni Katibu Mkuu Ofisi Ya Rais-Menejimenti ya Utumishi Wa Umma na
Kwa...
Mkuu usishtuke,miye wife alifika mpk miezi 10 no uchungu,lkn alikuwa chini ya uangalizi wa daktari,lastly kuna dawa alipewa ya kuanzisha uchungu haikuchukuwa dk 10 alijifungua.
**Warning**
Bado anatakiwa kufuata ushauri wa daktari na kuudhuria clinic kama atakavyoshauriwa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.