Uhamiaji TanzaniaNimeona gari zina plate number "UT" ni taasisi gani?
.com
Kuna jamaa aliniambia et Usalama wa TaifaUhamiaji Tanzania
Uhamiaji TanzaniaUnakuta gari ina no UT 2057 hii kirefu chake ni nini
Nenda pale ofisi za uhamiaji utaziona hizo plate number zikitumika pale.Kuna jamaa aliniambia et Usalama wa Taifa
kweli Kabisa mkuuUhamiaji Tanzania
Mimi siku moja nilishangaa nikasema toka lini Usalama wa Taifa wanajitangaza? Nikaja gundua kuwa kumbe ni Uhamiaji Tanzania lohNenda pale ofisi za uhamiaji utaziona hizo plate number zikitumika pale.
Donor Funded Project
Mwenyewe siku ya kwanza nakutana nalo nikajiuliza hii plate namba ya wapi nikajua basi ni Usalama Tanzania. Siku nimeenda ofisi ta uhamiaji ndo nikaja kujua kuwa ni uhamiaji.Mimi siku moja nilishangaa nikasema toka lini Usalama wa Taifa wanajitangaza? Nikaja gundua kuwa kumbe ni Uhamiaji Tanzania loh
RAC?
Hawa mara nyingi ni wazee wa MakumbushoInakuwaje pale unakuta gari jipya kabisa lakini namba za zamani, kwa mfano kuna V8 moja mpya kabisa ina namba T804AVB
Duu kiongozi hiyo plate number ya Tanzania?
Nimeiona mara kadhaa... hata leo, na escort ya gari mojaDuu kiongozi hiyo plate number ya Tanzania?