Gemini Are Forever
JF-Expert Member
- Sep 10, 2019
- 1,457
- 2,435
Heshima kwenu nyote.
Nimeamua kuanza maisha mapya baada ya kukaa nyumbani kwa muda sasa.
Sina chochote ninachomiliki kama asset na comfort zone imekuwa kikwazo kikubwa sana kwangu kiasi cha kunifanya niwe muoga.
Leo nimeamua kuondoka nyumbani, naelekea Iringa kwanza. Huko ninakoenda sina sehemu maalumu ya kufikia, sina ndugu wala rafiki.
Mwenye kazi yoyote ya halali au anayeweza kunipa connection popote naomba tuwasiliane.
NB: Sina taaluma (proffesion) yoyote nina elimu ya darasa la 7.
Natanguliza shukurani!
Nimeamua kuanza maisha mapya baada ya kukaa nyumbani kwa muda sasa.
Sina chochote ninachomiliki kama asset na comfort zone imekuwa kikwazo kikubwa sana kwangu kiasi cha kunifanya niwe muoga.
Leo nimeamua kuondoka nyumbani, naelekea Iringa kwanza. Huko ninakoenda sina sehemu maalumu ya kufikia, sina ndugu wala rafiki.
Mwenye kazi yoyote ya halali au anayeweza kunipa connection popote naomba tuwasiliane.
NB: Sina taaluma (proffesion) yoyote nina elimu ya darasa la 7.
Natanguliza shukurani!